Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habarini za majukumu, Juzi nimebadilisha simu nika install WhatsApp upya Basi kila nikiifungua inajituma /kujipost link kwenye magroup yangu yote ya whatsap niliyo jiunga nayo. Hata...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, recently nimeanzisha huduma hii kusaidia wenzangu ambao hua tunajishughulisha na kazi za mitandaoni kuweza kutoa pesa wanazozipata kutoka paypal. Maana tunajua kuna restrictions...
7 Reactions
110 Replies
33K Views
Wakuu jee naweza kutumia kioo cha simu nyingine kuweka katika simu yangu Mfano unatumia infinix simu yako ikaharibika kioo ukakosa cha infinix lakini kuna vya tecno, samsung au vivo ambavyo vina...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nawezaje kusolve tatizo la Sound out put kwenye PC maana huwa inaniandikia hivi "No Sound Output Installed" Msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
921 Views
Asee habari humu!? Hamjambo wote, Niende kwenye mlengo wangu moja kwa moja kuna inshu imetokea kwenye zile za kupata vitu free, kwa watu zimeloga, ila najua kwa kuna watu bado wana ujuzi humu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo sema nina 180,000 nahitaji simu mpya sio used iwe Samsung au Xiaomi au infinix nipo Arusha.
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba kujua kuna siri gani ndani ya One plus 8 pro maana kwenye chat nyingi ana wakimbiza hawa Samsung kama hivi karibuni antutu ameto chat zao za simu zenye nguvu one plus 8pro imewaacha mbali...
2 Reactions
46 Replies
6K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie kitu ambacho naweza nkatumia kutoa simcard kwenye simu yangu kwa sabab ile pin ya kutolea nmeipoteza kwaiy naomba kufaham kam kuna alternative ya hiyo pin au kama huwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam Wadau, Nimesikia fununu kuwa Apple wameachia Security Update kwa ajili ya Vifaa vyao vya zamani. Mfano simu ya 5s, Ipad 2 nk. Kuna yeyote mwenye hizi news? cc: Chief-Mkwawa
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa mtu yoyote mwenye kujua namna ya ku unlock iPhone 8 ni ya marehemu brother angu. Hakuna anaejua password zaidi yake. RIP
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Unapenda kufahamu umri wa simu yako kama umenunua simu kwa mtu au dukani sio mbaya ukajua umri wa simu yako ili kuipa ufanisi zaidi katika ufanyaji wake kazi njia zinakuwa tofauti kutoka...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habari,kuna motor wa mashine ya kusaga nyama hapa,huu motor una capacitor mbili ya startup ina 100microfarad na wa run-up una 20 microfarad. Tatizo la motor ni kwamba ukiwasha unazunguka...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila nikiingia katika website ya PDFDrive. Com, nikitaka kudownload kitabu huwa inaniandikia hivyo. Shida hapo ni nini wakuu? Msaada tafadhali
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza nimejikuta nafuta text muhimu sana kutoka CRDB naomba mwenye uelewa nawezaje kuwafanya wanirudishie ni sms ya kawaida kupitia no ya simu
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nina Laptop Dell imepata shida ya kuchaji Battery. Yaani nikiweka Battery peke yake inawaka vizuri bila ya shida lakini nikiweka charger yake ili ichaji moto hauingii. Nikitoa Battery na kutumia...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba nisaidiwe ni njia gani wanazotumia, mfano wakati kuna tukio fulani linaendelea utakuta watu wengine wanaangalia tukio hilo LIVE ni nini kinatakiwa kuwepo? kwa mfano nikiwa Kanisani na...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu? Natafuta kitu kinachoitwa electric dot pen au dot pen. Wapi naweza kupata pen za namna hizi?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nipo na computer yangu inatumia window 10. Tatizo kuu ni hili swala la bundle consumption. Inanyonya sana kiasi kwamba ndani ya dakika 3 nikiiacha moderm On nakuta nimetumia mbs zaidi ya 30..Kwa...
1 Reactions
8 Replies
38K Views
Hii simu naitumia ni miezi mitano sasa sijawahi hata kuidondosha ukiiona kama mpya kabisa ila imeanza kuwa na tatizo la kutach ukibonyeza mbili inabonyeza tatu Ukislide kwa juu inaslide kwa chini...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom