Habari wakuu,modem yangu (vodacom) inakata mtandao, yaani sometimes yes, sometime no na muda mrefu inaandika No Service.
Najua humu wapo wajuzi zaidi,
Natanguliza shukrani za dhati kwenu.
Nilikuja humu nikasema bye bye ios na nikaomba ni android gani nzuri na itakayo kaa vizuri na moto pamoja na u quality wa camera.
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu na wengi mlinishauri nichukue...
Heshima wanaJF, Naomba msaada/ushauri. Kijijini kwangu kuna shida sana ya maji salama kwa matumizi ya binadamu. Nimekuwa nikifikiri sana namna ya kupambana na hili tatizo bila kungoja serikali na...
Msaada jamani kuna simu tajwa hapo juu Iphone 4s nkiweka line za kibongo inahitaji kuactivate ili isome, nkiactivate kwa kutumia WIFI mwisjoni inasema SIM NOT SUPPORTED.
Nifanyaje ili line ziweze...
Wakuu habari zenu
Nina simu yangu nimenunua majuzi hapo(haina hata week?) aina ya samsung hzi A 51 series....sasa jana imeisha chaji ikazima nikaichaji fresh kuwaka ndo ikaanza mazengwe...
Huduma ya Ujumbe Mfupi (SMS) ni sehemu ya huduma ya mawasiliano ya maandishi ya simu, ikitumia itifaki sanifu za mawasiliano zinazoruhusu kubadilishana ujumbe mfupi wa maandishi kati ya laini au...
Habari zenu ndugu zangu?
Mwaka huu na mpango wakuanza kutumia iphone hasa taget yangu ni iphone Xs max au 11 pro max(napenda simu kubwa) ila kuna kitu nataka kujua kuhusu hizi iphone kwa kwel...
Habar wana jamii forum hope mpo poa mm ni mwajiriwa kwenye kampuni X najihusisha na Tender na kwa sasa nimekuwa na shughuli nyingi mno lakin kamwe sijawah kuwaza kuacha mambo ya tenser japo...
Hii naamini ni settings tu
Nataka Simu nikitype message kwa Kiswahili nataka yale maneno automatically yawe saved ili next time nikitumia hayohayo kwenye kitype nichague tu
Aina ya simu Redmi...
Nadhan kwa upande wa internet huu ndo mtandao wa ovyo zaidi hapa nchini, speed yake ni ndogo mno, ila wana vifurushi vya maana hasa.
Wanakupa bando la kutosha then network utajua mwenyewe kwa...
FOR almost 70 years Sony has been the poster boy of electronics. It rocked the world with its Walkman and turned everyone on to TV with its Trinitron sets. Its amassed a fortune and is proud of a...
Wadau nadhan kichwa cha habari kinajieleza chenyewe,
Nataka kujua kati ya hizo simu mbili ipi simu kali kuanzia kwenye utunzaji wa moto na specification zake
Kuna samsung m51 nimeiona nimeona...
Kampuni ya Teknolojia ya China, Huawei inaanzisha mfumo wake mpya wa uendeshaji wa simu za janja (smartphones) unaojulikana kama HarmonyOS baada ya Marekani kuizuia kufanya kazi na kampuni ya...
Maujanja ya kuondoa Write Protection kwenye flash au memory card
Neno write protection sio ngeni kulisikia ila kama bado basi ni hile hali ya flash / memory card kuweza kuwa protect na hivyo...
Kwa kweli napenda sana editing na picha kali ila maufundi sina.
Nani anisaidie Application kali za kuedit picha.
Lakini nahitaji Free Application za iPhone
Poleni na majukumu ndugu zanguni.By nature natumia iphone ila kama tunavojua changamoto za (IOS) baadhi ya apps mpaka uweke keshi.
Naomba wale wakali wa apps free za iphone mnisaidie apps kali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.