Ndugu zangu habari zenu,ninahitaji msaada wa fundi alieko mkoa wa mbeya au kijana yeyote alieko mbeya mwenye uelewa wa kuweka custom rom mbalimbali kwa simu.
Ndugu yangu ana simu aina ya redmi...
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada wa kujuzwa kwa yule ambae anafahamu ni application gani nzuri kwa ajili ya video editing kwenye pc ambayo unaweza kuchanganya,video normal picture,ukaweka...
Naomba kujua Jinsi ya Kuondoa E - Mail ya Mtu katka Samsung Account, Simu nilinunua kwa Mtu ambaye Sina namba zake, Nataka nisajili Account Yangu Kwenye Samsung kwa Ajili ya Security
Habari za muda nipo sehemu ambayo internet speed yake ni tatzo ina soma 3G ambayo haina nguvu jana nilidownload VPN ingawa kwa shida nilivyo iwasha speed ya internet ikaongeza yaani hata YOUTUBE...
Habari wakuu?
Nina printer aina ya EPSON L850 changamoto niliyonayo nashidwa ku print PVC card. Naomba msaada wa jina la software ili niweze ku download nifanye hii shughuli.
Ahsante.
[emoji880]
Stellar Phoenix Windows Data Recovery – Professional is a do-it-yourself data recovery software that helps you to easily recover deleted files & folders, missing or corrupt partitions...
Jamani habarini humu naombeni kuuliza Kuna kipindi nilikua naona kwenye mtandao wa Alibaba pc flani ndogo zilikua zinaendeshwa kwa Android. Sasa ningependa kujua je zinapatikana madukani na bei...
Habari wana jukwaa?
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea.
Ninahitaji kujifunza ufundi simu (fani ya ufundi simu) either hardware au software au zote mbili.
Napendelea nifundishwe na fundi simu...
Kuna watu wengi wamekua wakiulizia jinsi ya kupata free internet kwa njia ya vpn commonly tunneling, nami ningependa kutoa mchangu wangu kuhusiana na hii haina ya internet.
Ni kweli unaweza pata...
Naomba kuelekezwa namna ya kuset access point za voda kwenye simu yangu maana naona network inanisumbua kweli. Kwa sasa zipo km inavyoonekana kwenye picha.
Nina pc ya dell inspiron 3521 ambayo ina tatizo moja kwamba, ukiweka waya wa charge, betrii halichaji Bali inakia inatumika kama desktop, lakini nikipeleka betri kwa pc 💻 ya mtu betrii nachaji...
Watanzania wengi hawataki kusikia habari za 5G, watakwambia "4G haijasambaa nchi nzima, malizeni ku cover 4G ndiyo mtuletee 5G". Tukiwa na mawazo haya hatutafaidi vitu vizuri . Mbona 4G ililetwa...
HOW TO TRACE A MISSING OR STOLEN PHONE:
If you lose your mobile phone, you can trace it without going to the police.
Most of us always fear that our phones may be stolen at any time.
Each phone...
Wakuu nahitaji msaada mwenye uelewa wa masuala ya computer, nina mashine yangu laptop nilikuwa naifanyia activate windows lakini matokeo niliyoyapata yalifeli kabisa, sasa baasi nikiwasha inawaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.