MaxMalipo ilikuwa moja ya kampuni zinazofanya vizuri kwenye tech space in Tanzania. Ila kwa sasa ni kama inaelekea kufa hivi.
The payment industry ni moja ya industry inayokua kwa kasi, hasa hasa...
Nahitaji king'amuzi ambacho naweza kupata channel za hapa nyumbani na zile za movies za kizungu sio za kihindi nahitaji HBO na zingine nyingi za miziki ya kizungu, je nifanyeje? Naomba maoni yenu...
Hii Simu nilinunua mwezi wa 9 mwaka jana, mpaka inafika mwezi wa 12, nilikua nshaweka screen protector 3 (ya elfu 5, elfu 7 na elfu 10).
Ukisahau 100 mfukoni, au ukaichanganya na funguo, unakuta...
Salam ndugu zanguni.
Naomba kufahamu ni desktop computer yenye sifa zipi inauwezo wa kufanya kazi za kuzalisha na kuhariri picha za video, naomba kusaidiwa hili kwa wataalamu wa humu jukwaani...
Msaada wako! Na ushauri pia ni muhimu mimi nashindwa kabisa ku download series kwa ktumia simu nikitumia chrome,opera min, phoenix. Nikiweka series nyingi kuanzia EP sod 4 na kuendlea ina download...
Kuna ambaye ameweza kulihack shadow fight 3 licheze offline anayeweza atuoe msaada wadau tuenjoy
Game nzuri sana hii tatizo ni online simnajua hatuwezi eka bando kila siku
NEIL POSTMAN
SPEECH TO THE GERMAN INFORMATICS SOCIETY
OCTOBER 11, 1990
STUTTGART
The great English playwright and social philosopher George Bernard Shaw once remarked that all professions are...
Ukiachana na matoleo mengine hii simu ya samsung A02 ipo vyema
Chaji inakaa sana na chaji betri 5000mah
Upande wa kamera ni ni kawaida iko quality
Peformance yake ni nzuri ipo fasta mpaka...
Wakuu msaada wa App inayoweza kufanya jambo hili
-: App inayoweza ku translate "voice " Kuwa "text "
Please hata kama ni program ya PC.
asante sana karibuni.
Naomba maelekezo namna ya kurudisha mfumo wa vibration kwenye simu yangu(Infinix Hot 8). Tatizo hili limeanza siku za karibuni, nimeingia kwenye "settings" nimeset on for incoming calls lakini...
Habari za muda huu na tumia netflix cracked mod premium 7.1 nilichukuaga online ila kwasasa imekuwa nzito sana hasa wakati wa kuchagua link ya kudownload inaweza chukua hadi dak 6 huku mnara ni 4G...
Habari wakuu.
Nina Camera aina ya Canon EOS T4i 650D.
Mimi si mtaalamu wa Kamera. Tatizo langu ni pale ninapochukua Video kila inapofika Dakika 30 inajizima automatic na nikitaka kuendelea...
Nimejaribu kufikiria wapi ntapata gaming pc case kwa hapa bongo nikipengele kidogo kupata pia nimeajibu kuangalia mtandaoni...zipo hata bei yake si yakutisha sana ila mpka ifike hapa naona ni...
Wakuu nahitaji hicho kifaa kwa ajili ya kuboost Mtandao wa simu eneo nililopo kwani mitandao yote ipo chini sana.
Nikipata kichosave angalau Kipenyo cha mita 500 itakuwa poa sana.
Kwa yeyote...
Msaada wa kurestore simu imejiweka pin Mara nyingi sasa inanipa 24 hours ndio niweze weka pin na mi nahitaji kutumia muda huu nisema ni flash kila kitu kitajifuta msaada wenu nitumie njia gani...
Habari ndugu zangu,
Ndugu zangu leo nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kupata elimu ya ya kuflash na ku unlock simu ikiwezekana hata kupata na software za kufanyia hiyo kazi nimeanza kujifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.