Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani kwa heshima na unyenyekevu mwingi, nimetengeneza application ya kutazama live Tv online lakini bado sijaiweka Play store kwa hiyo unaweza ukaidownload kwa kubonyeza link hiyo chini, Kuna...
39 Reactions
968 Replies
146K Views
Chinese Giant Company ya Mobile phones na electronics imekamatwa na twitter police baada ya kupost tweet Ya kuisifia simu yao Mpya Mi 11 kwenye post ambayo ilikuwa inatania kuhusu Kuvunjika kwa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Nilikuwa naomba kujua menu ya kujiunga kifurushi cha gb 10 usiki
0 Reactions
34 Replies
13K Views
Wadau kama kuna mtu mwenye APP ya easy worship yenye Biblia ya Kiswahili naomba anisaidie ni kwa ajili ya pc. Natanguliza shukrani Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Nimechoka kununua protector za simu. Ndani ya miezi miwili nimebadilisha protector kama mara tano. Protector za siku hizi wanauza mpaka tsh 2000, ukiweka kwenye simu halichukui muda...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
PDF inakataa kufanya kazi mpaka iwe activated. Nisaidieni nifanyeje iwe activated?
1 Reactions
0 Replies
545 Views
Kwanza kabisa nikiri hii ndio simu yangu ya kwanza yenye 4G internet yenye kasi sana. Inakaa na chaji siku 2 with data on. Inatoa picha nzuri sana usiku. Ina camera 4. features zake ndio hizi.
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Whether you've been using Windows 10 for years or have only recently upgraded, there are plenty of new and old tips, tricks and hidden features to learn that will make using your laptop every day...
7 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu Naomba msaada wa offline link ya kupakua drives za PC HP pro book 450
0 Reactions
4 Replies
615 Views
Kampuni ya Teknolojia ya Huawei inatarajiwa kurusha satelaiti mbili angani mwezi Julai, 2021 ikilenga kuingia katika teknolojia ya intaneti ya 6G. Kampuni hiyo ya China imekuwa mstari wa mbele...
2 Reactions
50 Replies
6K Views
Katika nakala nyingi ambazo nimezipitia na kuzifanyia utafiti kwa kiasi fulani zinaelezea kuwa katika muziki drums ni kitu muhimu sana ambapo huweza kuleta radha nzuri na kumfanya mtu atikise...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari za Kazi, Nimeagiza AliExpress mzigo kwenye shipping address nimejaza majina yangu mkoa niliko pamoja na namba ya simu je mzigo utafika salama ?
0 Reactions
6 Replies
613 Views
Nataka kununua projector kwa ajili ya marumizi ya ofisi,je ni vitu gani nizingatie? brand ipi ya projector inaongoza kwa ubora?
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Wadau mnaotumia sana talakirishi (computer) nimekuwa nikiona watu wengi wakitumia anti virus kwenye window computer zao ikiwa window inakuja na sucurity yake (window defender). Kipi bora kutumia...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Habarini, Nimeona nilete hili swala kwenu maana limenipa utata sana ili nipate mawazo yenu. Nmepoteza simu yangu iphone 12 pro, sasa katika kuitafuta kwa kushirikiana na polisi(cyber unit)...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
habari za leo. Nawataarifu kuwa kuna wezi wanazunguka kwenye vituo mbalimbali wakidanganya watu kuwa wanawarekebishia vifurushi vilivyotajwa na Mh Raisi. Wana swap simcars kuchykua taarifa za...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu? Msaada kwa watu waliopo kinondoni ambao wanafaham SP ambae anatumia fibre. Nimejaribu Zuku ila wanaishia Ada estate, kama kuna anaefaham nyingine iliyo vizuri msaada tafadhari...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Salam wakuu Nilikuwa natafuta game la PES 19 offline kwa simu za Android nimejaribu Kusearch Google lakini ninayokutana nayo ni ya online, kwa ambae analo la offline naomba. Sent using Jamii...
1 Reactions
23 Replies
11K Views
Wakuu salama? Nimejaribu kufanya malipo kwa Netflix kupitia Visacard lakini haikubali. Nilisajili kupitia App yao ila ukifika pale kuweka namba za kadi ya benki inakatalia hapo. Nahitaji...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Jeshi la Maji la Uingereza limefanya majaribio ya kutumia mavazi maalum yanayomwezesha mtu kupaa kwa lengo la kuboresha operesheni za kuzuia uharamia baharini. Kampuni ya utafiti wa teknolojia ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom