Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Uamuzi wa kampuni ya simu ya Samsung kushusha bei ya simu zake aina ya Galaxy S21 unaonekana kuipa faida kampuni hiyo baada ya kumpiku mpinzani wake wa karibu, Apple katika mauzo ya simu duniani...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Naipenda sana hii gari, muonekano wake tuu. sina uzoefu na magari maana ndo hii ya kwanza nataka ninunue mazingira yangu ni barabara vumbi na mashimo ya hapa na pale naombeni mnipe uzuri wake...
0 Reactions
100 Replies
12K Views
Unaweza kuwa umetengeneza Application ya Mjziki, Michoro, Ramani za Nyumba, Vitabu, Video au chochote kile. Ku access hivyo vitu mtu inabidi alipie. Unatumia njia gani watu wafanye malipo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kila mara simu yangu inaleta notification ya kuonesha haina free space na ikizingatiwa ina sijaweka vitu vya kuielemea, na ina internal ya 64GB. Tatizo ni nini?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari Nina Simu aina ya Sumsung J2 iliokotwa week iliyopita, nimeweka laini ikawa inafanya kazi vizuri kilakitu leo asubui kuifanya imeandika EMERGENCE CALL maana yake haisomi mnara...kingine...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa, naamini kwenye jukwaa hili kuna wataalamu wa kada mbali mbali na ndio sababu ya jf kuheshimika na kuzidi kuwa na wanachama wengi tujipongeze kwa hilo. Bila kupoteza muda niende...
1 Reactions
23 Replies
20K Views
Wakuu natamani kujua hawa wakubwa wanakwendaje na teknolojia haswa kwenye simu janja Pichani Mh Jakaya Kikwete anatumia simu gani na zipi specification zake?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mvua inanyesha lakin kinapiga kazi kama kawaida wakat zamani ilikuwa mawingu tu yakitanda kinagoma goma. Kongole kwa marekebisho yaliyofanyika.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wadau..nipo Mkoani na hapa kwenye kamji ketu Airtel walifunga 4G kwa hyo nikaenda ku swap line na mimi ni enjoy 4G,ajabu imekuwa mateso internet napata kasi nzuri ila nikipigiwa sipatikani...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hii imekaaje wadau , Simu unakuta ipo Current updated na iOS inayooaswa kabisa mfano 12.5 lakini kuna watu wanafanya maujanja wanapandisha hadi kwnye 14.5 ambapo hii ninuodate ya simu kubwa na za...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Msaada Wakuu kama ilivyo JF ni home of intellectuals naomba mnisaidie jinsi ya kupata program za ADOBE PHOTOSOP na ndugu zake wote kama ADOBE LIGHT ROOM na zingine. But zisiwe ni za kununua. Hata...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naanza mimi, Mimi PC yangu ni kwajili ya matumizi ya kawaida na kitaftia pesa mtabdaoni kuanzia blogging, freelance , n.k Mozilaa firefox kwajili ya kuperuzi internet. Google chrome kwajili ya...
11 Reactions
70 Replies
11K Views
Wadau wa drafti natafuta app ya drafti ambalo litakua gumu kushinda ambalo ni offline. Kila ninalo jaribu kudownload ama nakuta jepesi kweli hata kwenye difficulty level au nakuta halina settings...
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Hi, Habari zenu ndugu zangu. Hivi karibuni nimepokea toleo jipya la android (android 11), baada ya kufanya update, nimekumbana na tatizo kwamba simu inafuta miziki yenyewe kila ninapoipakua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nataka kufanya in app purchases kwenye game moja. Lakini nikitaka kufanya manunuzi naletewa sanduku nitype namba ya credit au debit card. Hakuna njia mbadala ya kununua app au features fulani...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama title inavyojieleza, Mara nyingi nmekua nikitumia internet kwenye PC kwa kutumia tethering hasa hii ya WiFi hotsport, Sasa majuzi nmebadirisha simu na hapo ndipo tatizo lilipoanzia, kila...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa kawaida web development unaijua kwa mda gan kama unajifunza
0 Reactions
3 Replies
489 Views
Habari wanJF, Nimekuwa nikishagazwa sana na bei ya SSD na ukubwa wake maana nyingi ninazoziona ni GB150 mpaka GB25. Ila bei yake imechangamka sana je! matumizi yake yapoje au hazijai mapema...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu. Naomba kujua sehemu gani hapa Dar es salaam naweza kupata ribbon za kwenye typewriter maana nimezunguka katika stationary kadhaa sijapata hizi vitu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Miaka fulani hivi huko nyuma kulikuwa na toleo fulani hivi zilikuwa zinakuja na inbuild projector baadae sikuziona tena sikoni. Vipi ziliacha kutengenezwa?
1 Reactions
5 Replies
806 Views
Back
Top Bottom