Habarini wakuu,
Nisiwachoshe sana,natumia simu aina ya iphone ambavyo kama mnafahamu application nyingne ni za kununua.
Kuna app niliyokuwa naitumia kumbe iliisha muda wa trela na kurenew na...
Wadau naamini nimefikisha issue yangu mahali husika, ingawa nilipata tabu kidogo niipost katika jukwaa lipi kati ya hili, sayansi na teknolojia au jf store.
Nina mradi wangu wa duka la bidhaa...
Wakuu nina swali kidogo. Niliagiza display ya laptop kutoka eBay trh 23 mwezi wa 6 na imeonesha kua tarehe 6 (Jumatatu) mzigo umeshapita customs na status imeandika
Hold item at Point of...
imejiunga na mtandao wa Go Fund Me katika harakati za kujaribu kutafuta fund ya wazo langu la kijamii.
Ishu nimekwama nikianza kufanya process ya fundraising nakosa option ya kuweka nchi ya...
Rejea mada tajwa hapo juu...
Desktop yangu imekua haitoi sauti pale napochomeka waya kupitia kwenye sehemu ya headphones, ila yenyewe kama yenyewe inatoa sauti ya ndani.
Nimejaribu ku-update...
Ilizinduliwa mnamo mwaka 1998 na wanaanga wamekuwa wakiishi humo tangu wakati huo.
Ni mahali muhimu kufanya majaribio na utafiti wa anga ambao utasaidia tafiti za baadaye kuhusu maeneo kama Mwezi...
jana nimeifungua pc(laptop aina ya lenovo) nakuremove cooling system kwenye processor na kuifuta vumbi,baada ya kuirudisha ikawa nikiiwasha inawaka baada ya muda inajizima yenyewe til nw cjapata...
Waungwana, nahitaji msaada wa ku-unlock modem/router mbili ambazo nimenunua toka kwenye mitandao ya simu Tigo na TTCL hivi karibuni.
ya TTCL ni: 4G USB Wingle Model: W02
ya Tigo ni: Mobile WiFi...
Habari wana JF na Techs, naomba msaada
Kompyuta yangu nikiplay video yenye resolution hubwa kama 1900*1080 inaganda sana
Taarifa za kompyuta:
Dell
Win 10
1.5Ghz atom
2gb RAM
Player VLC
Nifanye...
Siku njema, fursa ya uwekezaji ya maisha ya maisha iko hapa kwa ajili yako kama unavyoweza kuwekeza kwa urahisi bitcoins yako na kupata faida zako kwa usalama na kwa urahisi kwa mkoba wako wa...
Kwa muda mrefu nimkuwa nikitumia application ya videoder kupakua vitu mtandaoni,lakini siku hizi naona kama inaniletea mauzauza mengi na hata nikitaka kudownload kitu inagoma.
Nimejaribu kufanya...
Waungwana habari zenu....Nina hii Modem ya Huawei E303 ya Vodacom... Tatizo ni kutumia line yao tuu...Naombeni mautundu nii-unlock ili ma-line mengine yahusike.Natangulizamo shukrani za...
Habarini wana JF. Kwa leo ningependa kuja kutoa huduma ya bure kwa wale wanaotumia modem za mtandao mmoja (SIM Locked) na wanataka kuzifanya ziwe universal.
Comment hapa ntakua online kuwasaidia...
Habari wadau wa JF naomba kuuliza smartphone za siku hizi zina canera nyingi kuna macho ma 3-4 na kuendelea, swali linakuja hizo camera zote hizo zinafanya kaz gani? ..maana mimi sjawahi kuona...
Habari wakuu. Natumia app ya writer plus kuandika kazi zangu. Sasa kuna kazi nimeandika haionekani lakini inasoma kama ipo vile. Ili kuwa jazi ya maneno 5,000. Na characters kama 35000. Inasoma...
Ni katika wakati ambao nilikuwa nawaza ni kwa namna gani nitaweza kukusanya michango ya ahadi kutoka kwa marafiki zangu walio mbali au nje ya nchi kwa njia rahisi kwa shughuli hiyo na ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.