Aisee wakuu kuna aliyebahatika kupata nafasi kwenye hii kitu hapa chini?
===
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (MB), amefungua mafunzo kwa mafundi simu za mkononi...
Iko hivi Kuna pc ni DELL nilikua naitumia kwa shughuli za apa na pale sema, Kuna Toto moja Cha utundu kweli cjui alikkua ata ana taka agundue Nini kaibandua key board, almost kaivunja flani hivi...
Habari ndugu zangu,
Mimi natumia internet ya Ofsini kwetu Ethernet/WiFi iliyowekwa na Internet Providers....tatizo ni kwamba huwezi kutumia mtandao wa Instagram na Twitter mpaka uwashe VPN...
Kwa wale wanaotaka kubadili brand na kwenda brand maaarufu kama Samsung kuweni makini hasa kwenye Samsung A series". Ukifuatilia kwa makini utagundua kampuni ya Samsung wametoa A series kwa ajili...
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu.
Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa...
Although Einstein's theories suggest nothing can move faster than the speed of light, two scientists have extended his equations to show what would happen if faster-than-light travel were...
Habari zenu wakuu.
Laptop yangu nikiiwasha inaniletea maandishi yafuatayo:
BOOMGR is missing...
Press ctr+alt+delete to restart
Tatizo ni nini hapo wakuuu
Habarini ndugu zangu.
Mwenye ujuzi naomba anisaidie, account yangu ya biashara ambayo nilikua na promote products zangu ghafla inakataa inanipa ujumbe huu.
Habari wana jamvi!
Naomba niende moja kwa moja kwenye hitaji la uandishi huu wa uzi. Naomba kuuliza wapi hasa kwa Dar es Salaam (panaweza kuwa Kariakoo) au sehemu nyingine naweza kupata betri...
Nadhani wakuu swali langu limeeleweka maana nimepitia YouTube naona wakifanya test ya kuzitia kwenye maji na wala hazionyeshi kuharibika nakua sawa kabisa na wengine hufikia kuzigandisha kwa...
baada ya premise kuanza kuzingua hv. karibuni ktk utowaji w task zao ,imefka hatua kW cku unaweza ambulua task 1 au ucpte kbsa ssa naomb kujua km kun app nyengne nzur y inayo fnya vizur km premise?
Wakuu kuna alama inatokea kwa juu kwenye notification pale, nimejaribu kufactory reset ila bado ipo, ukiwasha data au ukizima bado ipo tu, ila ukitoa lain ndo inapotea. Ukiweka tu lain inakuja...
Mama yangu ana nokia C7 sijui hata alichokifanya ila inaitaji password ili simu iwake naombeni msaada wenu wa jinsi ya kuitoa hii password hapa maana nimejaribu kubonyeza cha kuwashia + home...
Baada ya kutaabika na TV la chogo takribani miaka 10 mfululizo nimeamua kubadilisha nami nihamie kwenye udigitali kama wenzangu. Nimepanga ninunue TV ya inch 32 ila sijajua ninunue aina ipi nzuri...
Habari za jumapili wana Jamiiforums,
Nina simu ya TECNO CAMON nime RESET lakini kila nikiweka google account ili iweze ku finalize inakataa inaandika THIS DEVICE WAS RESET.TO CONTINUE,SIGN IN...
Habari za muda huu, hii ni mara yangu ya kwanza kuagiza mzigo na nimekumbana na tatizo hilo baada ya mzigo kufika nchini.
Mzigo wenyewe sio mkubwa sana nilinunua kwa Ali Express. Carrier ni...
Mpaka Sasa sijapata jibu kuhusu wajamaa kuwa ni kiki wanatafuta, Wamepigwa ama Kuna ubunifu gani umetumika hapa.
Kwa taarifa walizotoa ni kuwa imechukua Miaka mitatu kukamilisha hii design Mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.