Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Napenda kujifunza website design kwa kutumiq joumla kwa anaejua pls anisaidie...
0 Reactions
4 Replies
931 Views
Guys acha niweke kitu sawa kidogo.. Hakunaga simu inatwa android na wala hakunaga smu inaitwa ios.. kama unabisha wee bisha tuu.. Android ni system ambayo wote wanaotengeneza device zao huziweka...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Nimeibiwa simu yangu hivyo uamuzi niliochukua ni kutafuta nyingine kwani kuifatilia iliyopotea naona nitapoteza muda mwingi na hela nyingi... Nimeamua kutafuta simu nyingine...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakubwa hongereni kwa Ujenzi wa Taifa letu pendwa [emoji1241] Wakubwa naomba kufaham kwa wenye ujuzi wa haya Maswala ya Computer naomba kufaham ubora wa Hii PC Aina ya Hp elitebook 2760 Core i3...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Surface Pro, za microsoft hasa kuanzia pro 3 na kuendelea nazikubari sana. ila hiki kifaa naona kama kiko weak sana kwanza kina processor weak pia. Sidhani kama kitafanya vizuri labda kakitoa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji nichukue mojawapo kati ya hizi simu kwenu wakongwe wa gadgets ipi itakuwa njema kwa vigezo hivi... 1-Battery backup 2-Camera 3-premium look 4-display Mapendekezo pia kama kutakuwa na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa miezi sasa nimekuwa kila nikifungua e mail yangu nakutana na email za watu wakiniomba kazi wakiwa wameambatanisha na CV zao!Nadhani labda kuna watu wasiowaadilifu wametumia email address yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari member kama title inavyosema ipi sound bar kati ya hizo ni bora coz mimi sina uzoefu na redio nahitaji tuchukue moja kati ya hizo
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Kama umekuwa mtumiaji mzuri wa huduma ya Google Assistant, utakuwa unafahamu ni kwa ainsi gani huduma hii ilivyorahisisha utafutaji kwenye simu yako. Ni rahisi kutafuta kuhusu hali ya hewa...
7 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni vizuri, yaani vinatoa picha Quality? Bei zake zinachezaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k
2 Reactions
45 Replies
8K Views
Sielewagi kwann hawa jamaa huwa hawaweki Radio kwenye simu zao hasa S series na NOTE series ukiacha zile za nyuma sana na hizi S10 na S10 × Ambazo zina radio Hence Radio yake huku kwetu inweza...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Utafiti wa soko la teknolojia, uliofanywa na Kampuni ya utafiti ulimwenguni inayojishughulisha na bidhaa katika tasnia ya teknolojia ya vyombo vya habari na mawasiliano ya simu. Mwishoni mwa mwezi...
3 Reactions
77 Replies
8K Views
Wadau kutokana na kuwahi ibiwa Tv zangu za Samsung mara 3 nyakati tofauti tofaut sasa nmeamua kuachana na kununua TV. Sasa nawaza kununua Projector. Naomba ushauri kwa projector ya kufaa kwa...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wakuu, Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea. Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kama uzi unavyojieleza tusaidiane viongozi kupata vitabu mimi naomba yeyote mwenye vitabu au lecture notes za course hizi atume hapa 1. INTRODUCTION TO HIGH LEVEL PROGRAMMING mwenye kitabu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau polen na majukum Mada inajieleza ,naona wimbi la watu wengi wanakuja inabox na kutaka kuwa marafiki kwa nia ya kuview status Hebu naomba tupeane elimu humu mana najua kuna cha ziada mana...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari za wakati huu? Okay, mimi nina swali napenda kulileta kwenu, Je? Ni nini kinapelekea kuwa kwa utofauti ukiwa na unasikiliza mziki kwenye simu ukilinganisha na kwenye PC tena ukiwa...
1 Reactions
14 Replies
859 Views
Msaada wakuu nilikuwa natumia tv hizi za Mobisol badae ikawa inanisumbua nikaiuza. Naomba kujuzwa ni tv ya kampuni gani za solar ambay ni nzuri kwa uangavu wa picha na uimara wake pia na bei...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Screen ya laptop yangu ina tatizo, inatoa mistari ya blue na kijani, mieusi au rangi zingine na kuchezacheza -- mawenge, hii mistari ni vertical au horizontal, cursor inastick muda wote na hata...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom