Nahitaji msaada whatsupp app yangu ilianza kunisumbua kam one week ago ilikua haifanyi kazi yani haileti sms wala haitumi kwa data mode hadi utumie wi_fi ndo inakubali nikaamua nifute nikadownload...
Heshimayenu wakuu,
Kwa mwenye kujua jinsi gani nitaweza kuondoa admnstrator password tafadali naombeni msaada, ikiwa ni step by step au ikiwa kuna software ambayo napaswa ku-download yote...
Hizi huduma ni za muhimu sana ila mara nyingine zinaweza kukusababishia usumbufu ambao unaweza kujutia kuzitumia
Mara kwa mara nimekuwa nikituma hela kutoka Airtel kwenda TTCL. Kama mara 3 hivi...
Wakubwa Heshima yenu
katika pitapita zangu huko Twitter nimekutana na hizi picha mbili
Yakwanza ni original photo ambayo imechukuliwa kwa sim na ya pili ni baada ya kuwekewa filter
kiukweli...
Salaam wakuu. Nikifungua App yangu ya Telegram sehemu ya Msg nakuta Screen imegawika katikati kati ya Chat na Contacts kitu ambacho mwanzoni hakikuwepo, ilikuwa nikifungua nakuta Chats tu, sasa je...
Poleni kwa majukumu waungwana;
Katika harakati za kufanya Windows shopping, nimekutana na hii TV, brand ya TOSHIBA, 40 inch, LED, FHD, siyo smart Tv, ambayo pamoja na mambo mengine, ina ports 2...
Hii ni game kongwe ya Call of duty wakija na mtindo mpya wa Battle royale, kutoka kutoka kampuni ya ACTIVISION, game ya style hii ndio mtindo unaopendwa kwa nyakati hizi sababu unaweza kucheza na...
Nlkuwa na angalia movie kwenye PC yang then charge adapter ilkuwa nyuma ya screen kama cm 15 iv baada ya mda kutoka kidg na rud after 30mn nakuta screen ime pungua mwanga sana fund aka niambia n...
Nina week ya pili sasa toka nilipofanya major update ya windows 10. Kwakweli sijaielewa naona haiko poa kama ilivyokiwa awali.
Kuna minor changes kwemye UI pia nazo sijazielewa pia.
Vipi wenzangu...
Wakuu habari zenu.
Natumai kwenye jukwaa hili wapo baadhi ya member ambao ni wataalam wa mambo mbali mbali ya kiufundi electronics, sasa mwenzenu kwa bahati mbaya leo hii mchana wakati nafungulia...
Habari
mtandao wa twitter ulikuwa una sumbua katika simu yangu nikaona nijaribu kudelete kisha niinstall tena lakin ajabu kila nikijaribu kuinstall haukubali katika simu wala pc
naomba msaada...
Hawa jamaa sijui watapunguza tena vifurushi vya chuo navyo mpaka wapi maana sasa wasiwasi umeniingia baada ya kupata hii meseji[emoji848][emoji848][emoji848][emoji24]
Sent from my cupboard...
Ninatumia OPPO F1 PLUS inayotumia android version ya 5.1,hii simu niliagiza kutoka CHINA iikuja ikiwa tayari installed GOOGLE SERVICE
Changamoto yake ni kwamba inagoma kujiupdate yenyewe...
Habari zenu wanajukwaa, poleni na pilikapilika za hapa na pale za kutafuta mkate wa kila siku. bila kupoteza muda niende kwenye mada.
vifaa vyetu vya mawasiliano vinaweza kukabiliwa na malware...
Habari za sasa hivi wakuu. Msaada PC yangu inagoma kuleft click. Kwaiyo nikahamua kutumia external mouse nayo imeanza kumisbehave inaji double click sometimes msaada jamani nashindwa kufanya kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.