Habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Miezi miwili nyuma niliingia mtandaoni kupatana na kukutana na samsung m31,ambayo niliipenda na kumtafuta mhusika maana sikuwa na hela yote 500k,maana...
Wadau. Kama wewe ni developer au unamiliki application nafikiri utakuwa unasumbuka sana na tatizo la ama kupata matangazo ya facebook au admob. hata kama yakipatikan ni nadra sana kudumu kwa muda...
Habari Wana JF,
Leo tutaendelea na mada yetu ya akili bandia upande wa afya.
Tutaangazia nyanja mbalimbali za afya ambapo akili bandia AI hufaunya kazi na nini matazamio yake siku za mbeleni...
Baada ya Vodacom kuidindisha TCRA na kukomaa na vifurushi vipya ,swala la kutemana nalo halina mjadala.
Nimesajili line ya ttcl lakini simu nayotumia ni ya voda.
Nafanyeje ili niweze tumia line...
Habar wadau!!!
Naomben mnisaidie hii issue nimekaa chin nimefikiria nikaona hii mbinu yaweza juna bora zaid ili kumanage mafile ktk pc sasa shida ni kuimplement .
Shida yangu ni moja tu nataka...
Wana JF naomba mnisaidie jinsi yakurudisha account yangu ya Facebook maana kila nikijaribu kuingia inaomba msimbo wa kuidhinisha katika uingiaji tatizo linalo nisumbua msimbo hautumwi kwenye namba...
Wapendwa, mwenye kujua naomba anisaidie jinsi ya kutambua mambo yafuatayo kwenye simu ya Samsung M31S.
1. KUWA ni mpya na haijawahi kutumika
2. Ni original
3. Used au
4. Refurbished/Copy...
Poleni wandugu kwanza.
Ni kwamba kuna kazi nafanya na laptop yangu ya siku nyingi Acer Quad Core 8gb ram.
Sasa shughuli nyingine masaa 18 inachapa mzigo nazima nusu saa. Halafu inapiga masaa...
Kuna mtu nimempipia simu ikapokelewa lakin hakuongea nikakata simu,baada ya kukata simu ikaingia text inayoonesha. Connected,A,EXPW:ON,[URL="http://maps.google.com/maps?q=-3.379723,36.669060&t=m...
Habarini wanaJF
Jana usiku jokofu langu limezimika ghafla but sijafahamu tatizo ni nini, na nina utundu kidogo na mambo ya umeme. Naombeni ushauri wa mawazo na maoni pia.
Ahsante
Wakuu wa mambo haya nisaidieni namna ya kujua Aplifier inatakiwa itumie input power volt ngapi kwa kutumia multimeter na namna ya kujua kuwa Amplifier imetoa watt ngapi na inatakiwa nitumie spiker...
Asee wadau hiyo paid video view, kuna mtu alishaitumia yani ni kama website flani hivi wanakwambia uangalie video harafu wenyewe wanakuwa kila ukiangalia video ya dakika wanakulipa, sasa je ni...
Wadau kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ni mara ya pili sasa nanunua charger kampuni ya Oraimo, Mara ya kwanza nimenunua nikatumia kama miaka miwili alafu ikafa charger na kufa kwake kichwa cha...
Kampuni ya teknolojia ya LG imetangaza jana Jumatatu itasitisha uzalishaji wa simu janja. Kampuni hiyo kubwa ya teknolojia imetangaza kuwa imekuwa ukipata hasara kwa kipindi Cha Muda mrefu...
Title haina maelezo sana ila uzi ni wa homework.
Yeyote anayejiamini atatoa homework ili watu wajifunze kupitia homework kufanywa na ukishafanya basi tupia solution yako.
usianze ushamba wa...
Habarini wanandugu kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamishwa namna bora yakuondoa google account kwenye simu ikiwa nimesahau password za hiyo email
Naamini nitapata msaada katika hili
Nimejiunga Telegram nashindwa jinsi ya kuitumia, naomba maelekezo. Nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali naambiwa ingia Telegram utapata, lakini niingie sizipati.
Nipeni maelekezo on how to use...
Njia rahisi zaidi ya kuelewa uhusiano kati ya Akili bandia (AI), Machine Learning (ujifunzaji wa mashine), na Deep Learning (ujifunzaji wa kina) ni kama ifuatavyo.
-Kujifunza kwa mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.