Habari za majukumu?
Kuna mtu yeyote amepata updates ya android 11 kwenye simu yake ya samsung A50 sababu naona wameanza kurelease kwa model za international ( SM505F)
Network Engineer/ Telecom Engineer au yeyote mwenye Uelewa wa Networking this Thread is for you
Baad ya Kupanda kwa Beibya Vifurushi vya Internet nimeona Solution yake inawezanikawa VSAT...
Wadau polen na majukum
Kuna simu nimeziona pale kikuu zina ram ya kutosha na internal gb nzur sn halaf bei ya kawaida nikasema ngoja nililete hapa kwa wajuvi mtujulishe juu ya ubora na uimara za...
Naomba msaada,
Mimi ni mtundu wa android ila ios sina ujanja kabisa sababu hua sio shabiki wa ios, sasa kuna mtu kaniamini kanipa hela anahitaji nikamchukulie, sitaki kumuangusha.
Mara nyingi...
Habari ya jumapili ndugu zangu wana jamvi, na hongereni kwa sikuku ya kubebika, endelea kudeka kama unadekezwa
Narudi kwenye hoja ni hivi mimi nina hizo line zote tajwa hapo juu, huwa napenda...
Wakuu naulizia kama kuna mtu amewahi kutumia hizi mobile phone signal booster na ufanisi wake kabla sijaagiza. Shambani kwangu kuna baadhi ya maeneo yanapatikana mtandao lakini kwa taabu sana...
Wandugu nimeona niulizie kupita hapa huenda wengine kipindi hiki wamepata hili tatizo.
Whatsup yangu inaonyesha ilikuwa outdated mwisho tarehe 28 march nikibonyeza download
Ili iji update...
Habari za jion wana tech wa JF.
Leo nimeshtuka kidogo, muda wote kwasababu nipo Twitter natumia VPN, sasa kuna muda nilienda Google ile paa nikajikuta nascroll mpaka chini kabisa bwana ee nikaona...
Msaada wenu wadau, kuna hizi lcd tv za startimes naziona zipo kwenye promo, kwa yeyote ambaye anaujua utendaji wake atujulishe, zinasemekana zina Hisense technology, kwa anayejua pia hisense ni...
Nina mashine ya Maxmalipo nilikuwa anaitumia tangu mwaka 2010 lakini baada ya hapo nikaiweka pending bila kutumia ila sasa nataka kuanza kuitumia inasumbua netweki naomba kuuliza Je! hawa jamaa...
Ndugu zangu,
Naomba msaada kwenye tuta. Toka jana Email yangu ya Yahoo hainipi ushirikiano, sijui kama na wenzangu mna hiyo shida.
Naomba mnisaidie kujua tatizo ni nini au nifanye nini.
Habarini za jioni wana JF,
Nina shida moja kwenye app ya Twitter, nikitazama video halafu ikiisha nikirudi nyuma kuendelea na mambo mengine ile sauti ya video inaendelea kuplay, na hata nikitoka...
Guys habari za kazi?
Naombeni ushauri wa kitaalamu.
Nahitaji kununua simu bajeti yangu ni laki 6..
Katika pita pita zangu nimeona hizi simu 2 ambazo bajeti yangu inaendana nazo:
Ni ipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.