Nina Hard disk ya GB 500 imekuwa RAW ghafla na nikijaribu kuiformat inasema cant Format hata kwakutumia disk managment any other solution msaada plz [emoji1430][emoji1430][emoji1430]
Wakuu kwema?
Nina Samsung hapa a10s android 10, ina zaidi ya mwaka.
Ni ghafla kuanzia bluetooth, hotspot na wi-fi zote haziwaki. Nimejaribu kurestore simu lakini bado hakuna kitu.
Cc...
BOOTSTRAP 4 INTRODUCTION
Hello Coders,
Leo nimeona ni share na newbies wanaoanza careers zao kama front end developers
Course hii inakuhitaji uwe na angalau basic knowledge ya HTML ,CSS na...
Wanajamvi,laptop yangu nimeinstal window 10 tangu muda tu.Ila ilipojiupdate tu,ikawa inakaa kama dk 5 au 10 inajishutdown.Ndo inafanya hivyo muda wote.
Nimejaribu kutafuta solution online mfano...
Baada ya LG kutangaza mwanzo wa mwaka huu kuwa wanauza mobile division yao imefatia kufunga biashara hyo ya simu mwezi huu ujao baada ya kukosa wa kuwauzia.
Hvyo wanafunga kabisa biashara hyo ya...
Habari! 🖐️
Natumai mu wazima nimepata matatizo ya kushindwa kufuta majina hasa yanayo nambia read-only contact from whatsapp naomba msaada kwa yeyote anayejua kwani hunikera sana sio siri...
Naomba msaada nina CD ya oxford nikiikop (setup) kwenye flash ili niweke kwenye pc nyingine isiyo na mlango wa CD inaistall frsh ila nikifungua inaniambia niinsert CD.
Help me guys
Habari za muda huu wakuu!
Mimi blogger na Kuna tatizo linanisumbua naomba msaada weny wenye ujuzi please
Kuna baadhi ya post zangu zina onyesha maandishi ya kiarabu ambayo mimi sikuyaweka na hata...
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII
Habari ndugu zangi ,
Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube ...
Naitaji kununua gaming motherboard ya intell inayosapiti intell processor generation ya 6 tafadhar kama unaweza niambia wapi napata nijuze pia kama unaweza niuzia hata wewe sawa niko online 24hrs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.