Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za Jioni wakuu? Ki sayansi inasemekana ya kwamba Jua, ni moja wapo ya nyota katika Galaxy universe system.. Hivyo Basi jua/nyota yeyote ina Solar System yaani, kila nyota/jua lina sayari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba mwenye kujua kuweza kulitatua hili tatizo la smart tv yangu ya tcl 55" kuonyesha vimstari vidogo kimlalo (horizontal) Vimstari vipokwa chini na kidogo kwa kati je hili...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Google Lens ni teknolojia ya kutambua vitu mbali mbali katika picha. Hii inahusisha maneno, tafsiri, wanyama, aina za matunda, aina za miti, picha zilizopo mtandaoni zinazofanana na picha yako...
11 Reactions
12 Replies
4K Views
Msaada wakuu..nina kisimu cha zaman hapa nokia lumia 720 nataka nibadilishe os yake kutoka windows kwenda android, Je inawezekana?? Msaada wenu na ushauri ni muhimu wakuu.. Ninachochukia windows...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu. Nilikuwa niaangalia nyimbo(video) kwenye TV, kwakutumia deki. Kwakua sauti ilikuwa chini nilitaka kuongeza volume. Sasa bila kuangalia nkabonyeza kitufe Cha channels...
1 Reactions
8 Replies
944 Views
Habari zenu wakuu Ningependa mnijuze wale mnaofanya YouTube monetization kwa AdSense, je kwa wastani unapata dola ngap kwa watu laki 1?
1 Reactions
74 Replies
17K Views
Nina laini ya halotel ambayo wamelock conference/merge calls. Kw yeyote anaejua jinsi ya kutoa msaada tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina flash ya san disk gb 32 nkiiweka kwenye pc haisomi na hata nkitaka kuiflash pc inakua nzito kulko kawaida had inaandika pc not responding hadi niichomoe ndo pc itarudi kwenye hali yake ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Msaada desktop Hp compaq nikibonyeza batani ya power kinawaka kitaa kimoja kisha kinazima ila nikiipuriza na hot blower kwa dakika 1 au 2 nikiiwasha ina waka ila nitakapoizima tu haitawaka mpaka...
0 Reactions
4 Replies
966 Views
Router imevunjika antenna naweza kupata wapi za kubadilisha.Msaada tafadhali kwa mnafahamu.
0 Reactions
2 Replies
661 Views
Jamani ndugu zangu .. Nimewakutanisha hapa ili tujadili kitu kimoja ambacho nahisi nahitaji msaada wenu wa hali na mali... Mimi ni kijana ambaye nimejikita katika kujenga brand yangu kupitia...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Mimi nahitaji kutengeneza app kwa kutumia react native kwenye visual studio nimesha set kila kitu kwaajli Ku code,, lakini kila Niki run react-native run-android kuna errors znatokea nmepambana...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Natumia tecno camon CX air,ni simu nzuri tu ila ina changamoto katika charge,inakaa na chaji vizuri tu ila sasa kwenye kuchaji ndo kimbembe unaweza ukaiweka chaji saa 1 asubuhi ukija saa 5...
0 Reactions
9 Replies
866 Views
Habari wanajamii, ninaomba kufahamu kuhusu hii app ambayo inasaidia speed ya kufungua picha kwenye app mfano instagram lakini tatizo linakuja kuna wakati inafanya app nyingine zishindwe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama topic inavojieleza, nahitaji kuinstall drivers za Bluetooth pamoja na Wi-Fi kwenye PC yangu lakini kila ninayo jaribu hola. Nimejaribu ku update machine, lakini wapi na hii imetokea nlivo...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Naomba mnifahamishe advantages za Ubuntu over Windows.. Pia kama kuna disadvantages za kutumia Ubuntu naomba kufahamishwa. Shukrani wakuu..
2 Reactions
70 Replies
11K Views
Niaje wadau, rejea kichwa cha habari hapo juu. Kuanzia jana wengi walikutwa na tatizo la App kugoma kufunguka. Zikiandika STOPPED au NOT RESPONDING. hilo tatizo linasababishwa na programu za...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Hi fam. Nime experience nikiwa maeneo yenye joto battery za vifaa Kama simu, laptop, iPod etc, zinawahi kuisha kuliko maeneo yenye ubaridi.. wataalamu mtuambie nasi Tuongeze ujuzi. Copy ikawe...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Nimegundua kuwa siwezi kuaccess mtandao wa Twitter bila VPN. Ama kwa simu au via PC. Tangu ziwe locke. Sijui kama humu mnapitia hili pia?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa mtumiaji wa bidhaa za HUAWEI kwa miaka mingi, Lastly nlikuwa natumia P30 kabla ya kuhamia Samsung, Sasa kama mjuavyo bidhaa Mpya za Huawei hazina tena Google PLAY STORE. KWA UFUPI...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom