Hope mna do poa.
Recently nilikuwa nasikiliza DW KISWAHILI ilikuwa ijumaa mchana.
Nilisikia kuhusu Safaricom kwa kushirikiana na Huawei na Nokia wanampango wa kuanzisha 5G kwa miji mikubwa...
Nina simu aina ya T-Smart 4G niliyonunua Tigo Shop. Betri yake haifanyi kazi hivyo nimekuwa natafuta Betri bila Mafanikio Naomba msaada wa kujua kama kuna Sehemu kuna hizo Betri.
http://revenuebrust.com/?refcode=16220
Habarini wanajamvi,
Hichi kitu kimetrend sana mtandao wa whatsapp mi nikaona nichukue link nithibitishe kwa JF, nikweli mtu anatengeneza pesa kupitia...
Habari wadau
Hii simu itakuwa na tatizo gani maana ukidownload app ya WhatsApp baada ya siku mbili lazima WhatsApp igome,nimejaribu kuclear kechi,data,restart,na hata kurestore factory...
Wakuu Naomba Msaada wa kuipata housing ya Hii laptop HP Notebook ilianguka ikaharibika upande mmoja na pia keyboard baadhi ya button hazifunction. Kama Kuna mtu anaweza kuwa na housing yake nzurii...
Habarin za alfajiri wana tech wa JF.
Katika kusoma kwangu maswala ya umeme tangu o level had six na hadi sasa nimekuwa DIY (do it yourself) wa umeme hiz terms mbili nimekuwa nikizikariri na...
Za mda huu wadau wajf
Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria...
Hamjambo humu ndani, naomba kuelimishwa tatzo lililo nipata ili nijue pakuanzia . Subwoofer yangu aina ya AILIPU tangu ninunue ina miaka 4 ila tangu wiki ilio pita imenza tatzo la kupoteza bass...
Katika enzi hii ya teknolojia, kila siku tunaona mabadiliko mapya katika maendeleo mapya. Kasi ya kuvutia tunayoona, haswa katika teknolojia ya mawasiliano inashangaza sana. Na hapa ndipo 5G...
Vp wakuu!
Nina pc yangu ya Window 10. Mm nataka niireset
ila nacho hitaji ni hiyo window 10 ibaki isifutike.
Kwa yeyote anayejua namna ya kureset pc bila kufuta window plz naomba anisaidie...
Watu wengi husumbuka sana wanapoandika ujumbe kwenye mtandao wa WhatsApp kutokana na hali kwamba herufi huwa na uzito sawa wa rangi katika hali ya kawaida. Aidha, mtindo wake huwa mmoja.
Je...
Zijue kampuni za simu na NCHI zinazozimiliki.
1. Samsung-Korea Kusini
2. Tecno-China
3. Huawei-China
4. Lenovo-Hongkong
5. Nokia-Finland
6. Blackberry-Canada
Tupieni nyingine
Nmechek youtube nkaona kuna kitu kinaitwa exagear kwamba unaweza run program za computer kama virtual dj au fl studio ukaweza tumia kweny smartphone ila kwang inagoma je kun mjuzi humu anisaidie.
Yaani huwezi amini tovuti ya dit ilivyo na muonekano mbaya vile mpaka keroo yaan nilitaka kuappy chuo kikubwa kama kila nikaongeze ujuzi kwenye programming ila baada ya kuona tovuti yao haina...
Naomba kutoa wito kwa jeshi la polisi kutumia program ya kuedit picha ya photoshop kumvua nguo zote mtuhumiwa aliyerekodi mkanda husika. hapa chini nawawekea video tutorial ya kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.