Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Hello Guys, hope mko pouwa. Leo nimeamua niwaelekeze namna nyepesi ya kuficha SMS kwa wale wachepukaji ili usije kamatwa Of course kuchepuka ni kubaya, lakini natambua kuna wanaochepuka kwa...
5 Reactions
40 Replies
15K Views
Wakuu ninapojaribu kufungua video kwenye account yangu ya mtandao X, video zinaandika flash back error...je nifanyaje ili nitizame video.?
4 Reactions
20 Replies
775 Views
๐— ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ฝ๐—ฒ๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ๐—ฟ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ Hatimaye mkurugenzi na muanzilishi wa media Efm na ETV nchini tanzania mfanyabiashara Majizzo amefanikiwa kupiga hatua kwa kuweza kuleta speaker zake nzuri ๐Ÿ”Š...
10 Reactions
26 Replies
1K Views
Hivi unajua unaweza kuwasiliana na mpenzi wako kupitia ndoto yani mmelala wawili lakini inawapa nguvu ya kufanya mazungumzo kwa njia ya ndoto kupitia usingizi. Wana sayansi kutoka marekani kwenye...
1 Reactions
3 Replies
264 Views
Wakuu kwema Mimi kama software developer nimeona mjadala mkubwa huku kuhusu programmer wa kibongo kuwa bongo hakuna ma programmer hichi sio kitu cha kweli bana wapo tena. Wengi ni wewe tuu...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Mko poa kwenye jamii kuna changamoto nyingi sana zinabidi ziwe sort out kwa njia ya tech maana now tech inakua saana. Sasa hapa kuna watu wa aina 2 mwenye uwezo wa kutengeneza mifumo ila hana...
1 Reactions
1 Replies
163 Views
Wadau kuna jamaa yangu ni mwalimu wa taaluma shule 'Z' nimeenda kumtembelea kazini kwake nkamkuta anakomaa kuingiza alama za Continous Assessment (CA) za wanafunzi wake wa kidato cha nne wapatao...
3 Reactions
33 Replies
931 Views
Habari zenu wana JamiiForums, Niende kwenye mada moja kwa moja, unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni kwanini walifungia window phone? Nakumbuka kuna kipindi nipo shule kuna ndugu yangu mmoja...
9 Reactions
43 Replies
2K Views
ChatGPT Evolves: Real-Time Web Access Transforms AI Interaction (Change default search engine to ChatGPT search - Official.) Introduction Remember those times when asking ChatGPT a question...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
๐—จ๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ!!! Je umepoteza au kuibiwa simu na unahitaji kulinda data (taarifa) zilizopo ndani ya simu yako. Kuna kitu kinaitwa remote lock unakijua ?? Najua wengi hawajui hii ni...
4 Reactions
1 Replies
440 Views
China Imefungua hospitali ya kwanza yenye kutumia Maroboti Teknolojia ya Akili mnemba (AI) Inazidi kushika kasi ulimwenguni, sasa teknolojia hii imepelekwa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo ya...
2 Reactions
11 Replies
459 Views
Salaam kwenu wote mnaopitia Uzi huu muda huu. NAOMBA msaada ni vipi naweza kuinstall app kutoka google na websites zingine ukiachana na play store. Maana nimejaribu Kila mbinu nimeishindwa Kila...
0 Reactions
8 Replies
283 Views
Kwa mara ya kwanza toka tanganyika na Zanzibar kuungana na kupatikana Tanzania Jana safari ya Kwanza ya treni ya umeme ya kisasa yenye kazi ya kusafirisha abiria ambayo inaitwa Electric multiple...
3 Reactions
2 Replies
292 Views
Baada ya JF kupotea kwa masaa 48 nilijikuta nikipita kwenye forum za wenzetu nikakutana na hii kutoka Nigeria nafikiri sio vibaya kushare na wenzangu: The past two years I've had the chance to...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
๐—จ๐—บ๐—ฒ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐˜‚ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜€๐˜€๐˜„๐—ผ๐—ฟ๐—ฑ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ Najua Kuna wakati unakuta umejiunga sehemu mbalimbali kwenye platform tofauti tofauti ukajikuta umesahau password zako ulizojiungia. Kwaiyo ndo mpaka nifanye kazi ya...
3 Reactions
1 Replies
346 Views
Yaani taa zangu hata nikizima bado zinawaka kwa mbali Huyo muingiza umeme alipokuwa anaweka umeme alisema fundi amekosea wiring ndio maana Nimemuita huyo mpiga wiring mwenyewe anasema hakuna...
4 Reactions
26 Replies
896 Views
Habari ya muda huu wana jamvi la Jf? Kama kichwa cha habar kinavyojieleza ningependa kila mmoja aeleze ni Features gani zinamfanya apende smartphone kutokea kampuni hii, Mimi kwa upande wangu...
9 Reactions
202 Replies
18K Views
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini. Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha...
10 Reactions
68 Replies
6K Views
๐—š๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—น๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐˜๐—บ๐—ฎ๐—ป ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜‚๐˜‡๐˜„๐—ฎ Wale wapenzi wa movie ya Batman Dark knight kama kweli mfuatiliaji wa movie za mtaalam christian Bale Kuna gari Yale aliyokuwa anatumia inaitwa Tumbler batmobile. Unaweza...
2 Reactions
0 Replies
160 Views
Ukiona umecomment mara Moja harafu ukaona umeletewa maneno ya English harafu juu upande wako wa kulia Kuna x au mkasi ๐Ÿ˜ We bonyeza pale kwenye mkasi hiyo comment itakuwa imeshajiplace usirudie...
4 Reactions
9 Replies
243 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ