Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini wakuu... Siku zote nimekuwa niki'export video kwenye Adobe premier kwa kuchagua moja ya presets ambazo zimewekwa. Ila leo nikawa mdadisi kidogo kujaribu kucheza na baadhi ya settings...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada ipho 6+ mnara haupandi inaleta huu ujumbe (your iphone cannot make and receive calls or access mobile data until it has been updated)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji free application ya kuhamisha text msg zote kutoka iphone 7 kwenda iphone X, nimefanya kwa icloud imekubali kuhamisha picha na contact peke yake.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada jaman kwa mtu anaejua App ya kutengenezea vitambulisho kwenye simu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau, Kwa anayefahamu; eti ni software gani nzuri itakayonisaidia kuandika kitabu? NB: Kitabu changu ni cha kitaaluma, kina mathematical formulas, tables na Michoro mbalimbali! Ahsante
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Imezima ghafla, nimeifungua nimekutana na kitu cha namna hiyo wakuu Je, hiyo device inapatikana kwa model hiyo? Natanguliza Shukurani Sent from my Redmi Note 6 Pro using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini za saizi wadau, Twitter yangu inasumbua inagoma ku login na bando lipo msaada wenu wadau.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Salam wakuu, Habari za wakati huu? Strait to the point, miaka ya nyuma kidogo simu Aina ya blackberry zilishika hatamu Sana. Wakati tuko vyuoni sifa ya pisi Kali au blazamen lazima umiliki BB...
11 Reactions
88 Replies
8K Views
Wakubwa shkamooni,wadogo marahaba,warika langu,zamda huu? Kama heading ijielezavyo hapo juu. Ikiwa ww ni mtaalam wa computer science na unaweza ku creat software itakayoniwezesha kudhibiti mapato...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za majukumu wadau wa tech. Lengo la kuandika thread hii ni kuomba mnisaidie. Kuna video clips nimezichukua kwa simu camera, nataka kuziunganisha kwa kutumia kinemaster app. Lakini tatizo ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kutokana na kichwa cha habari hapo juu ni kua hapa katika maeneo ya mijini kuna hawa mafundi saa wamekuja kugeukia ufundi wa simu na papo hapo nimeona tangazo kwenye banda la fundi saa likisema -...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Wakuu me so mjuzi wala, mzoefu wa computer na kutumia natumiaga kucheki movie, Na game, sasa kuna jamaa anauza computer aina ya Dell, lakini nilivo icheki ndani inatumia Window 7 XP, afu aiwezi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wadau..yeyote anaeweza kunisaidia kutoa hicho kiduara kwenye simu yangu , kinatokea kila ninapotap. Simu ni SamsungA01. cc Chief-Mkwawa
0 Reactions
6 Replies
855 Views
Je, zakunafahamu uwezo wa 5G? Sifae n.k? Makala hii itakusaidia kuweza kuelewa kwa undani teknolojia ya 5G. Hii ni moja ya teknolojia muhimu na kubwa katika sekta ya mawasiliano katika mwaka huu...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu wangu naombeni msaada wa vitu hivi kwanza 1.Desktop yangu imebadili Rangi ya Display nakuwa kama blue ilio fifia kiasi inapelekea kusoma kwa shida sanaa na hata kuchapa kazi zangu baada ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Nimeanzisha huu uzi maalumu kwaajili ya kubadilishana ujuzi kuhusu tasnia ya photography na retouching. Hivi vitu viwili huwa vinaenda sambamba na huwa vinategemeana kwasababu...
8 Reactions
51 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu Mimi Nina mpango wa kununua camera nilikuwa nataka mnijuze camera’s gani ya bei rahisi kwenye kampuni ya Nikon ambayo ipo vizuri kwaajili ya photography. MAJIBU YENU PLZ NA...
1 Reactions
3 Replies
837 Views
Nina modem ya vodacom zile za zamani sijui nimeikorofisha wapi mara baada ya kui unstall na kui install Join air, hapo ndomkosa likaanzia. zamani ilikuwa ukiichomeka kwenye computer inajiinstall...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nauliza na pia nataka kujua kama kuna simu inayo-operate au kufanya kazi kama kompyuta inavyofanya kazi, Hapa nazungumzia jinsi upangaji wa mafaili unavyofanyika katika kompyuta na je simu...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
app
,delete button is real needed here ,,just posted this thread mistakely and i cant delete
0 Reactions
3 Replies
681 Views
Back
Top Bottom