Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Circuit hii sijai-design mimi niliipata kwenye mtandao,nikaisuka! Imeandikwa watt 600 lakini Kama utaweka power transistor 10x2 utapata the realy 1000wattage of it! Nimeisuka ipo powa sana,the...
5 Reactions
49 Replies
17K Views
Habari za Jumamosi ya leo waungwana, Tafadhali, kwa mwenye kufahamu hatua za kufuata ikiwa unataka kuipata simu iliyopotea kwa kutumia IMEI# naomba anifahamishe. Hii ni baada ya kutoa taarifa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu kuna app ya kufanya manunuzi ambayo mtu ata deposit pesa alafu anaifanyia manunuzi kama ilivyo app za sport betting mtu anaoder bidhaa na pesa inakatwa pale kwenye wallet yake ? Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekutana na simu hiyo kama mtumba ya mwezi februari ila changamoto haina play store ila ina appGallery. Pia katika kufuatilia nimeambiwa soon huawei wata lounge harmonyOS. Wapenzi hii kitu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau...naombeni kuuliza; kwa mfanano wa bei na kwa kuzingatia wakati uliopo yaani soko la kisasa, ni simu ipi ambayo utaenjoy nayo kati ya hizo 2 yaani Samsung galaxy s8+ au Samsung galaxy...
3 Reactions
69 Replies
13K Views
Nina PC (Min Laptop) nimekua natumia siku nyingi bila matatizo. Lakin jana gafla nawasha inawaka lkn kwenye display haioneshi kitu (giza). Wenye uelewa tafadhali naomba ushaur kama nitatizo...
0 Reactions
3 Replies
756 Views
Habari za mda huu waungwana, Leo nimetamani nijifunze jambo jipya! Naomba nifahamishwe Internet Service Provider (ISP) wetu ni nani na njia gani imetumika mpaka internet ikatufikia hapa nchini?
2 Reactions
163 Replies
23K Views
Wakuu habari za sasa..... Naomba kuuliza kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kikuu....hivi huwa inachukua muda gani Hadi kukufikia bidhaa uliyoagiza. Pia kwa aliyewahi kuagiza screen magnifier vipi Ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam, Nawezaje kuweka play store application yangu niliyotengeneza ili kuuza na mtu aki-download pesa napataje?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Msaada wenu Tafadhali Wadau.Natumia HP ina sauti ndogo Sana.Nataka niongeze angalau.Mwenye kufahamu drivers msaada Tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, habari za Asubuhi Simu yangu ina tatizo la kuweka Mistari kwenye kwenye kioo chake na baada ya muda hiyo mistari hupotea. Sasa wakuu hapo shida itakua ni kitu gani maana hiyo mistari...
1 Reactions
14 Replies
8K Views
PC ninayohitaji ni HP EliteBook 850 Nataka nijitahidi nichukue mpya Ram 4 HDD 500 icore 5 au kuendelea Iwe Touch screen Iwe na Webcam Processor speed iwe 2.5-2.9 GHz Iwe na port kuanzia 3 za...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Mapema wiki hii, programu tumishi ya mawasiliano ya WhatsApp ilianza kutoa taarifa kwa watumiaji wake wa Android na iOS kuhusu mabadiliko ya sera ya matumizi na sera ya faragha, ikiwafahamisha...
14 Reactions
45 Replies
8K Views
Wazimbabwe wanakampuni ya kutengeneza simu inaitwa gtel https://gtel.co.zw/ Brand zao za simu ni infinity8s X7plus na pro Kwamujibu wa wikipedia https://en.m.wikipedia.org/wiki/GTel_Zimbabwe...
0 Reactions
2 Replies
798 Views
Poleni na mapambano ya kila siku, naomba mapendekezo ya simu nzuri ya smart ninayoweza kununua kwa budget ya 150,000/=
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Ndio, kuna umuhimu gani? For me, sioni umuhimu, kwa kuwa mpaka sasa kuna light-weight text/code editor kama Brackets, VS code na Sublme text editor, japo kuwa napennda sana kutumia Brackets na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada nikipiga window kwa pc inaniletea ujumbe huu. MREJESHO Shukrani wakuu nimefanikiwa. Ila kwa njia ya kudelet ile partition ya window na kuirudish ikakubali shukrani sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuuu natumaini hamjambo wote, Simu yangu aina ya infinix hot 8 imegoma kutuma SMS kwenye namba yeyote tatizo lilianza mchana nikakorokochoa sana nikafanikiwa kutoa jioni hii tatizo limerudi na...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Back
Top Bottom