Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nakumbana na tatizo wakati wa upakiaji maudhui (Picha/Video) Instagram kupitia kompyuta. Nimetumia mbinu mbalimbali kuweza kutatua na kila jitihada pasi ya mafanikio, nawaza yaweza kuwa tatizo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naona mnatafuta vitabu. Ninawapostia wenye Nostalgia Wafurahi. Na wageni Wajiunge.
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Ningependa kujuzwa au kufahamu ulaji wa MB kwa App za Kusikiliza Radio Online
0 Reactions
1 Replies
592 Views
Habari. Nina google pixel xl, ila imeanguka kwahiyo screen yake imevunjika. Je naweza kupata replacement? Au kwa anaejua sehemu ninayoweza kurepair naomba aniambie. Na bei. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau! Nina simu ya huawei honor 20 ila inazingu yan kuwa wakati nashusha notifications inagoma ila kioo kiko frsh mfano apo kwenye picha nimeweka ata vidude home na back kuna wakati vi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nime update laptop na kila nikiwasha inagoma inasema ime start vibaya itafanya auto restart na mchezo unaishia hapo...naomba msaada kwa wataalam "corona ipo tuchukue tahadhari"
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna tv hapa aina ya hitach chogo yaani ilikua inagoma kuwaka sasa nimepambananayo sicruit ikawa imewaka an ila sasa kuleta mwanga kwe kioo ilikua sjafanikiwa an nikiiwasha ilikua inatoa Moshi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu nilikua na ist yangu ikabidi nimkabidhi dereva tuifanye Tax. Na kwenda kisasa zaidi ikabidi tujiunge UBER....kwasababu za kimaslahi ikiwemo UBER imebidi niipaki kwanza. Aisee jamaa wanapiga...
10 Reactions
38 Replies
3K Views
hello bosses, ukiachana na ma-beginner, ukiwa experienced developer unampango wa kujifunza nini kipya na kwa nini mwaka huu?? au unapango wa k-learease project gani (app/website).
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu napenda kufahamu vitu vifuatavyo computer32- bit operating system na 64- bit operating system computer ikiwa na hzo bit Ina maana gan? Je hzo bit znautofauti gn na IP ni bora kuliko nyngne
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Network haipatikani. Website yao haifunguki. Simu hawapokei. Page zao za facebook na insta zipo kimya tangu october. Kuna waliolipia vifurushi vya mwezi, siku zinaenda tu na hua hawafidii...
1 Reactions
106 Replies
10K Views
Wakuu game ipi kali kati ya Euro truck simulator 2 pamoja na America truck simulator
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Haswa kwa wanaume, ila wanawake mnajielewa sana pongezi kwenu. Basi siku za hivi karibuni kila mtu anataka kuwa developer, oh! si dhambi, lakini inagharimu muda, pesa na nguvu. Mtu anashida...
8 Reactions
67 Replies
6K Views
Heri ya Mwaka Mpya 2021, Habari gani wakubwa na wadogo humu jamvini.! Natumaini hamjambo kabisa. Acha niende kwenye mada moja kwa moja.! Kama maada inavyojieleza. Tangu teknolojia ya simu janja...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mwenye network unlocking code za Motorola e5 locked by Verizon anisaidie tafadhali. Imei yake 351838090697861.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu bajeti yangu hiyo hapo 300K Naweza pata PC yenye specifications zipi? Ahsanteni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The Code 1 error message tells you that the device in question doesn’t have drivers installed on the computer, or the drivers are incorrectly configured. You will get a popup message saying that...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Nimenunua simu aina ya samsung note 9 lakini software yake ni ya zamani sana nawezaje ku update
0 Reactions
27 Replies
6K Views
This error message is the one which appears after running a network troubleshooter on any version of Windows from Windows 7 and it indicates that there is a problem regarding your DNS server which...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wakuu Hii tabia sasa imekua chronic kwangu haiwezi pita siku ndani ya masaa 24 nisiingie internet Tabia hii imenifanya,kutumia pesa kununua,bundle ili nisitoke mtandaoni. Japo kuwa Mara...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom