Nahitaj printer,preferably HP,ambayo wino wake unapatkana kirahis na cheap.Isiwe ndogo sana coz nataka kuitumia kwenye stationary,ila speed iwe ya kutosha na isiwe zle kubwa zenye function nyingi...
Natumaini mko salama kabisa,
Ni muda sasa umepita tangu nipuuzie kwa mara ya kwanza hii dhana ya kwamba mtu anaweza kusoma messages za mtu mwingine bila yeye kujua (tena hata mkiwa mikoa...
ninalazimika kuanzisha huu Uzi baada ya kupoteza muda wangu kudownload App ya dogo mmoja wa kitanzania inaitwa ILAPESA
nikili dogo kaja na wazo zuri lakini namna alivyoharakisha kutengeneza app...
Wadau wa JF tech habarini za asubuhi, bila kupoteza muda na kwa ufupi naomba kuaddress swala langu, e bhana ee kila nikiwasha data kwenye simu yangu inakuja hii notification "sign in to network"...
habari za jioni wanajanvi.
jamani mimi ni mhanga wa huu wizi wa magari unaoendelea jijini. yani katika miezi mitatu nimeshabomolewa gari yangu mara mbili na kuibiwa power window, head rest, side...
Hello bosses! Hope mko poa
Iko hiv Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?Hizi mashine za kutoa risiti za TRA ni ghali hasa kwa mtu anayeanza biashara...
Wakuu habari zenu?
Naomba kusaidiwa hapa kidogo maana nimeshindwa, ipo hivi nime update Google play music ndo mara nyingi nilikuwa naskilizia music nikishapakua online, ila baada ya update...
Habari za muda huu wadau, Naomba mwenye kujua printer nzuri inayoweza kuprint labels (lebo) ndogondogo za kwenye bidhaa kama mafuta, ubuyu, unga wa lishe
fahamu jinsi ya kurudisha vitu vilivyofutika kwenye kompyuta simu sd card na nk
kama ulikua unatafuta njia rahisi ya kufanya kuweza kurudisha vitu vilivyofutika kwenye simu kompyuta flash sd card...
Msaada tutani nashindwa kupost matangazo katika Instagram account yangu naletewa ujumbe huo hapo chini.
Anayeweza kunisaidia kuirudisha katika hali yake ya kawaida tufanye biashara
Call 0759212578
Kwenu Wanabodi wa Jamvi hili,
Nimeleta uzi huu mahususi katika maswala ya teknolojia.Nije kwenye lengo la uzi huu, Wakuu mimi nilikuwa nataka kujuzwa je unaweza kutumia Playstation3 katika PC...
Heshima kwenu wadau.
I hope mko okay kabisa. Well,nimetumia IDM kwa muda wa 30 days na zimeisha na wananitaka niweke SERIAL KEY naombeni msaada kwa hilo wandugu wa hili jukwaa pendwa la...
Habarini.
Mimi ni mwanachama wa hii social network kwa muda tokea 2011 ila sikuitumia sana nikatemana nayo maana sikuwa naelewa namna ya kutumia na Facebook ndio ilikuwa kila kitu
Sasa nataka...
Nipo Bumbuli, Lushoto nimeangusha simu yangu kwenye gari ya Noah ilikuwa charge imezima kama mnavyojua Samsung S serieos chaji ni shida
Naombeni ushauri na weza kuitrack kwa IMEI yake au kama...
Habari za saa hii wakuu,
Kuna baadhi ya application ambazo zinatumia internet ila hazihitaji data(MB kutoka kwa ISP) mfano Nala.
Sasa swali langu jee behind the scene hawa jamaa wanaliwezeshaje...
Za Ausbuhi wana Jamii
Niende kwenye swali moja kwa moja kuhusu zile CIU za kuongeza unit kwa mita za tanesco, iwe ya kupachika kwenye soketi au ya wireless
Swali: Je, nini kitatokea pindi...
Moderm yangu ya K3772z huawei huwa haiji install yenyewe napochomeka kwenye pc mpya hadi nidownload kutoka external source. Sasa changamoto niliyo nayo ni moja, nimeshagoogle hadi nimekata tamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.