Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
King'amuzi changu kina Eutelsat 7B frequency, baada ya kuformat. Nasikia wamehamia Eutelsat sat 7C. Kwahiyo nikisearch channel zinazokuja ni Bloomberg, Universal Tv na Imaan Tv. Kwahiyo naomba...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari nataka nitaka ni install whatsapp kwenye pc maana sina smartphone kwa sasa. Sasa hii BlueStack naona inafanya PC kuwa nzito hatari . Kwa anaye fahamu software nyingine mbadala. Asanteni
3 Reactions
25 Replies
5K Views
ITALIA: KAMPUNI YA APPLE YATOZWA FAINI YA TSH. BILIONI 27 KWA UPOTOSHAJI Mamlaka nchini Italia imesema imeitoza Kampuni ya Apple faini ya Euro Milioni 10 (zaidi ya Tsh. Bilioni 27.8) kutokana na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Download app ya Wasafi TV ikiwa na channel za kuonyesha Leagues mbalimbali duniani pamoja na channel za hapa nyumbani. http://bit.ly/2USUjnW ----- UPDATE ------ Tumefanya mabadiliko ya jina la...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau naomba ufafanuzi. Unakuta video ina 1300000 views iko no1 trending but pia kuna video ina 2M iko 2 trending ili linakuwaje wadau? Trending video Tz kwa sasa inafanana na mfano niliotoa.
0 Reactions
8 Replies
859 Views
Naombeni mniboost jamani kwa ku-Click kwenye hii link ili niweze kupata mpunga kule AliExpress. One click to get TZS 92,761.70 !#AliExpressbonus #BonusBuddies #AliExpressBlackFriday Your bonus is...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarizenu wana Jf matumaini yangu muwazima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye topic . Hivi karibuni nime 'create' blog yangu ya extension ya .blogspot ,baada ya kupitia mchakato wa kutosha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna wakati nawasiliana na mtu WhatsApp and tunataka kutrade vitu fulani lakini Nakuwa nakosa amani naye, natamani kama ningejua alipo ili akinizingua nimtimbie, sasa ndio nikaja hapa kuomba...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Nafikiri umekuwa ukijiuliza maswali mengi juu ya programming, kwamba ni kitu gani, kinafanya nini na utawezaje kukifanya, siko hapa kukufundisha maana haiwezekani ila nitakueleza njia ambazo...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kuelimishwa kuhusu The Great Reset. Sisi tulioko nchi zinazoendelea inatuhusuje? https://time.com/collection/great-reset/...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
IJUE SIMU YA KWANZA ISIYO TUMIA WAYA(wireless). Motorola ndo simu ya kwanza kutengenezwa isiyo tumia waya ukiachana na simu ya kwanza iliyo vumbuliwa na Alexander Graham Bell. Motorola...
1 Reactions
8 Replies
920 Views
Habari, Natafuta anae jihusisha na kutoa Hdd password.. Nipo Dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua mahala ambapo kozi inatolewa kwa hapa Dar au mtu binafsi anaefundisha. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Siku chache zilizopita nilitaka kununua Program ya Adobe Photoshop CC 2020 (Subscription) kutoka kwenye tovuti ya adobe, lakini nilibonyeza button ya buy iliniletea ujumbe kwamba siwezi kununua...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Pakua hapa
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Habari wakuu, Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved. Ipo hivi: Nina Gmail...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Wataalamu naomba kujua, Kama una YouTube Channel na Blog ambayo maudhui yake yanafanana na Channel. Je unatakiwa kusajili leseni mbili tofauti? au Ni leseni moja tu inajitosheleza? Maana leseni...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Heri ya uzima ndugu zangu!!! Naomba kujuzwa ni app gani ya computer naweza kutumia kucopy\kuhamisha mafile nikiwa nimeconnect USB kutoka kwenye simu na laptop. Nikafanikisha kucopy {from...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka kununua Simu. Naomba ushauri toleo gani zuri la Samsung. Bajeti yangu 300,000/= ~ 400,000/=. Nazingatia zaidi good camera na muonekano. Update Niliongeza pesa kidogo...
5 Reactions
95 Replies
16K Views
Back
Top Bottom