Wadau hivi inawezekana kupata App ambayo ukiinstall kwenye frashi au external memory ukichomeka frash kwenye computer inacopy kila kilichomo automatic, kama ipo ya kununua au inayopatikana...
Nimenunua S8 Plus used lakini, sasa nauliza ni sawa au nimeingia chaka? Maana nimejaribu kusoma mahali naambiwa mwisho wa S8 kupata update kutoka Samsung itakuwa May 2021.
Watalaamu niambieni.
Habari wana JF, nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa kutweak sms app na kufanya iweze kutuma meseji yenye maneno mengi kama vile 200 na zaidi au kama kuna mbinu au application inayoweza kufanya...
Habarini wana JF, nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa kutweak sms app na kufanya iweze kutuma meseji yenye maneno mengi kama vile 200 na zaidi, hata kama kuna mbinu au application inayoweza...
Wakuu mnotumia whatsapp Mimi natumia tecno WX3, nina shida moja kuna mda statuses za watu zinafutika zote kwenye screen bila ku-view, yaani kuna kuwa hakuna Recent updates wala viewed updates...
Weka design katika mchoro au picha kisha tutaendelea.
Mwisho wa siku kuna mtu atapata kitu fulani hapa.
Kwanini nataka wewe ndio uweke design nataka nitumie muda mfupi website hii itakuwa ni...
iPhone 12 Pro Max imepita kupitia upimaji wa DisplayMate na imepokea Daraja la Utendaji la Kuonyesha la A +. Pro max display yake ni OLED Super Retina XDR la simu limefanana au kuweka rekodi 11 za...
Kwanza kabisa nataka kuijua interms of;
1. Safa zake
2. Utofauti wake ukilinganisha na simu nyingine za Samsung
3. Bei yake kwa sasa mpya na used
4. Betri
5. Uimara
Wana jf habari zenu, naomba msaada wa akaunti zangu za biashara facebook na instagram zimefungwa . Akaunti ya facebook ads ina andika disbled na akaunti ya instagram ina andika no...
Samahan kwa anayejua kuinstall nexus na kufanyia setting zake zote kwenye maana mm na ina nishinda kufanyia setting kama kuna mtu anajua naomba anisaidie step by step.
Wadau mpoo habari za kitambo kidogo
Leo mekuja hapa naona watu wengi wanapost thread kuhusu programming ila wengi wanishia njiani. Kwa hiyo kuna wengi wanopenda kujifunza wanaishia njiani hawajui...
Habari zenu wana JF, uzi huu ni kuomba ushauri juu ya matangazo kwenye App.
Naomba kuuliza, hivi ni matangazo gani naweza kuweka kwenye Application yangu? Mimi najua AdMob na Facebook tu...
Aje wajuvi,
Lately I copped myself a Chromebook pro ile ya Samsung. ina 4gb ram 32 gb sdd na intel core m3 sasa ishu inakuja nataka kucheza games kwanza nataka kujua kama pubg, tekken na magame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.