Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za pilika wana Jf, bila kuwachosha ngoja niende moja kwa moja kwenye mada yangu Kutokana na teknolojia kuongezeka kwenye Tv zetu hadi kufika 4k, 8k n.k lakini kila nikiweka hizi video za...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Programu ya YouTube Vanced husaidia watumiaji wa Android kutazama video za Youtube bila matangazo na pia hutoa huduma zingine za kulipwa za Youtube bila kuchaji. Nilipata programu hii ya Android...
1 Reactions
1 Replies
612 Views
Leo sio Bugatti, Mclaren wala Koenigsegg , mambo this time yako tofauti na hii ni rekodi ya tangu mwaka 2018. Devel Motors yenye makazi yake mjini Dubai waliachia huo mdude 2018 wenye top speed...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimenunua line mpya ya Halotel 4g Ila imekuja na pin code. Je, nitawezaje kuonfoa hizo pin code yaani kuweka off isiwe inaniuliza pin code
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu yangu ni samsung s7 edge ipo ON ila mtu akinipigia naambiwa sipatikani na hata nikipiga simu haiiti inakata tu na nikicheck balance naambiwa UNABLE TO PROCESS THE REQUEST il mnara unasoma 4g...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisika python ndio inayoongoza sasa kwa kutumiwa. Wanaodai hivyo wanasema pia ndio programming language rahisi kuwahi kuwepo. Kwa wadau wanaoijua na KUITUMIA naomba maoni..Frametime...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada wa kupata radio ambazo ni offline zisizo na kutumia bandoo Kwenye smartphone zetu hizi. Kwamba Niki install basi napata radio moja kwamoja anitumie hata kwenye telegram...
0 Reactions
9 Replies
988 Views
Kwa muda sasa nimekuwa ninaexperience tatizo la internet, muda mwingi network iko slow na saa nyingine kunakuwa hamna kabisa network. Imekuwa kero sana huwezi kabisa kuenjoy kusurf mtandaoni...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Kampuni ya HUAWEI imetangaza rasmi kuanza kutumia OS yao ya HarmonyOS 2.0 kwenye simu zao ifikapo 2021, hapo awali mfumo huo wa kuendesha simu ulitambulishwa kwenye vifaa vengine kama Saa, Tv na...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Habarini wakuu. Mimi ni kijana "age below 35". Napenda sana siku zijazo nije kuwa miongoni mwa watu wenye uwezo mkubwa wa kuamrisha internet kufanya kile ninachotaka. Hizi 'Search engines' zote...
9 Reactions
138 Replies
13K Views
Habari wadau, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumiaji wa mtandao wa twitter toka mwaka 2015 lakini mpaka sasa nimefanikiwa kuwa na followers 500+. Kwa mujibu wa wadau, followers...
2 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari wakuu, Simu yangu imezuiwa kuaccess free wifi flan hivi sasa nilikuwa naomba kujua kama kuna mtaalam anaweza nisaidia kusolve tatzo hili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimezoea kuangalia simu gsmarena kabla sijanunua ila leo nimeshangaa kukutana na TECNO na INFINIX,ni lini zimeingia huko?
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Advanced Penetration Testing - Hacking the World's Most Secure Networks | PDF/EPUB | 6/6 MB | Black Hat Python | PDF/EPUB | 3/3 MB | Defensive security handbook | PDF/EPUB/AZW3 | 29/27/4 MB |...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Introducing to you 6 best free wifi software, now these are free software and also have a paid version, used to install on your computer. In this article, I will introduce to you the top 6 best...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Idadi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii Tanzania imeongezeka kwa kasi na kufikia 4.5 Milioni. Idadi hii imegawanyika katika makundi makubwa mawili,Kundi la kwanza ni wale wanaotumia mitandao ya...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana Jf wakati naendelea na kazi zangu hapa pc yangu imecollapse ghafla ikanambia your pc run ito ploblem you need to restart ikajizima na kurestart yenyewe lakini ghafla tena ikacollapse...
0 Reactions
2 Replies
574 Views
Kama unatumia simu ya android kuanzia toleo la 9 pie, basi njia inakufaa. Huitaji ku root. Jinsi ya kufanya 1.) Nenda Settings --> Connections --> More connection settings --> Private DNS 2.)...
15 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wakuu, ninaomba msaada wa ku unlock hii vodafone router (vodafone R207-Z) ili niweze kutumia mitandao yote. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wakati simu zetu za smartphone zinakua slow pole pole kwa wakati Fulani mpaka [emoji34][emoji34] upelekea kuwa na hasira na simu yako japo umenunua mwenyewe ukulazimishwa [emoji16][emoji16]...
5 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom