Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Guys please help me with the software of satstar S9HD Combo which opens powervu keys and autorolls biss keys? I am using software dated 08/03/2018. Please help me with the software which was...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kama una betri n40 na ukafunga solar panel ya watts 30 je inaweza kuchaji hiyo betri?
1 Reactions
55 Replies
12K Views
wakuu simu yangu inatatizo kutoleta calls kwenye kioo yan utakuta natumia alafu hapo hapo mtu akinipigia hailet sehemu ya kupokelea ..bali itaendelea kuita tuu lkn kupokea huwez naomba mnisaidie...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hellow Jf Kila nikifungua game la dream league 2020 linagoma kufunguka nakuleta huu ujumbe Tatizo lipo wapi wakuu???
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Call app bora kabisa ya kwenye simu ya Google Phone App sasa inapatikana kwa karibu simu zote za Android kwenye Google Play Store kwa ajili ya kupakuliwa. Hii Google Phone App ilikua maalum na...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Nilikuwa naangalia Apps za watanzania ambazo zina Install Milioni 1 au zaidi..kwenye Play Store Nimezipata 2 tu 1. Millard Ayo 2. Kupatana Nataka kujua kama kuna nyingine, unaweza ukaiweka hapa...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Nokia Lumia 1020 iliushangaza ulimwengu pale walipotoa simu Kali sana yenye MP41. Hiyo ilikuwaje Ni 2011 karibu miaka 10 iliyopita. Camera ya Nokia Lumia 1020 ilikuwa kiboko na matata Sana, na...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada jinsi ya kuondoa auto subscription ktk thread. Yaani kwasasa nikichangia tu uzi inakua ni kero kwa notifications!! Ninakua subscribed ktk kila uzi nnaochangia nifanye nini...
0 Reactions
5 Replies
784 Views
Natumaini hamjambo, Nina tv yangu ambayo si smart tv nataka ninunue android tv box ili iwe smart tv lakini Sina uwelewa wa kutosha na matumizi ya android tv box Je kifaa hiki kinauwezo wa kuhifazi...
2 Reactions
68 Replies
9K Views
Wah..Nimenunua TV haijamaliza hata Mwaka , imedodonka kutoka mezani hivyo kioo kikacrack na hivyo huwezi kuon oicha kwani inaonyeshwa kunawino umevilia. je kunauwezekano wowote wakuirehekebisha...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari ,ninaomba msaada nina tatizo katika simu yangu aina ya tecno spark 4, tatizo lenyewe ni kwamba nikipigiwa au kupiga nikishapokea au niliempgia akishapokea basi screen ya simu inajizima...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu mnotumia whatsapp! Mimi natumia tecno WX3 , Nina shida moja kuna mda statuses za watu zinafutika zote kwenye screen !bila ku view Yaani kuna kuwa hakuna Recent updates wala viewed updates...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Twitter imezindua huduma mpya ulimwenguni inayoitwa 'fleets': tweets ambazo hupotea baada ya saa 24, sawa na machapisho kwenye Snapchat na Instagram. Twitter hapo awali ilitangaza mpango wake wa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za uzima wapendwa, natumai mko poa japo changamoto hazikosekani hiyo ni sehemu ya maisha. Maada yangu inahusu changamoto ya WhatsApp,katika kutuma audio kwa mtu,, kuna audio ambazo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ahlaan Wasalaan Wapenzi Wa Jukwaa Hili, Bila Shaka Mtakuwa Mkoa Poa Na Mnaendelea Vizuri Na Majukumu Mbalimbali Ya Taifa. Msaada Ambao Nilikuwa Nahitaji Ni Website Nitakayoweza Ku-Post Matangazo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Motherboard ya PC imepigwa short, natafuta fundi anayeweza kufanya soldering kwa ile IC iliyoungua
0 Reactions
0 Replies
488 Views
Wakuu habari, Kuhusu hizi fingerprint za maofisini. Mwenye ujuzi atusaidie what happens kama mtu atakuwa anasign in tu kila siku ila hafanyi kusign out. Akija next day anasign in tu.
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Wakuu, Tokea jana nimekuwa nikijaribu tutorial za YouTube jinsi ya ku-bypass FRP katika Nokia 1. Lakini kuna sehemu nafika ambayo yule wa kwenye tutorial inampeleka direct kwenye Google Chrome...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nianze kwa kudeclare interest kuwa mimi ni mtumiaji wa siku nyingi wa simu za TECNO. Ifahamike kuwa uchaguzi huu unatokana tu na uwezo wa kifedha na hivyo sikaribishi hoja ya ubora wa simu...
1 Reactions
65 Replies
17K Views
Naomba msaada jaman kama kuna mzoefu wa hili tatizo nimedownload rom ya pili lakini kaz ile ile mzigo unagoma kuflash nimefanya hii issue kwa odin inagoma nimefanya kwa miracle pia inagoma...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom