Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu samahan hivi vpn inaweza kuboost speed ya internet maana huku tz net za mitandao mingi ziko slow kama mnavojua maana nyie sio wageni wa nchi hii, najua watu wengi wanatumia vpn kwa ajili ya...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau naombeni uhakika kwasababu kuna post nilisoma net wamesema "Toothpaste is also an excellent substitute for thermal paste" Kwa anayejua naomba anithibitishie.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Yep yep kina jet li washaanza fanya mambo yao sio bado tunangaika na 4G wenzetu wanawaza yajayo. Mzigo utakua tayari by 2030 kwasasa mzigo uko kwenye majaribio na juzi juzi hapa wametoka kurusha...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Unajua vita kuu ya pili ya dunia Warusi na Wamarekani walifanya wizi flani ambao mpaka sasa i can tell you ndio unawapa jeuri hawa washenzi. Hilter ujueri wake ndio uliompoza ila kimsingi jamaa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu habari, Nimekutana na hizi simu sokoni (Samsung A10, 20, 50, 90), ni toleo jipya la Samsung. Vp kuhusu ubora wake kwa ambao wanazifahamu au ambao tayari wanzitumia. Nimevutiwa na bei ya...
2 Reactions
242 Replies
91K Views
Habarini wana tech, Nina laki 2 ninataka simu kati ya kampuni hizi; Tecno, Huawei, Oppo, Viwa. Naomba mnitajie simu gani nzuri kwa bei yangu hiyo. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
32 Replies
11K Views
Wakuu naomba mniambie ni kampuni gani ambayo wanazalisha vichwa bora vya USB charger na bei yake NB: Hapo mwanzo nilikua natumia hii. Haija chukua mda mrefu sana naona nikilinganisha na bei...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
leo nimeona tuzungumzie kuhusu hizi memory card. mtu anapotaka kununua memory card huulizia brand name tu ipi nzuri wengine watajibu sandisk wengine watajibu kingstone ila kila mtu atajibu lake...
57 Reactions
131 Replies
27K Views
Kuna baadhi ya chanel nataka zisiwe zinaonekana kwenye king'amuzi changu cha DSTV, hivi hakuna njia ya kublock hivi labda?
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Wakuu mashindwa kuzilinda Documents zangu katika Google drive. Kwa maana Account nlio tumia kuifadhia hizo data Mtu yeyote anaweza kuingia kupitia hii simu yangu na hata kudow load. Nivyo naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu hivi mfumo wa hapa nchini wa sasa unaweza kuipata simu iliyoibiwa kama unavielelezo vya simu yako mf list imei namba. msaada tafadhari maana nimepiga voda nimeambiwa niende police ndo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nasgindwa kuingia WhatsApp, nini nifqnye? Maana nimedownload WhatsApp zote (normal, WhatsApp business, fmwhatsapp)
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Wakuu mwenye kujua kutengeneza YouTube channel naomba anisaidie kwa maelezo ya kina jinsi ya kutengeneza maana Mimi nimejaribu kila njia nimekwama. Au Kama kuna mtu anaweza kunitengenezea ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Simu yangu hii A10s ilinunua used kwa mtu ila sauti yake iko chini saaana ninaweza kubadili speker ikawa poa au tatizo nn mbona sm zngne A10s zinatoa saut vzur tuu
0 Reactions
1 Replies
540 Views
Habari, Kuna mafundi humu? Nahitaji kubadili kikoo cha Nokia 3.1 gharama ikoje, nikuletee unibadilishie...??? Ahsante.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua iwapo nitatumia Vpn hzi zilizotajwa ni bora kama vike Nord vpn, express von Cyberghos nk Ina weza kuongeza spidi ya internet yangu? Kwa mfano Halotel wana kifurushi kinaitwa...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa sababu kama mnavyojua jinsi serikali ya Marekani ilivyoweka sheria zake katika makampuni ya china , napenda uliza swali tajwa hapo juu.
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Wadau heri na iwe kwenu, naomba kuelekezwa settings za simu yangu kama kuna sehemu nimejilock maana nashindwa kusoma youtube comments, naambiwa a Restricted mode iko ON ila sijui pa kuizimia.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza wadau. Nimechomeka waya wa Sub-Woofer ambayo ilikuwa imewaka (2 in 1) kwenye pc aina ya hp, ghafla ikazima... na haijawaka tena hadi hivi sasa. Nimejaribu kutoa betri...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari naomba kusidiwa kila niki-Loggin Twitter inaniambia We Could not Verify your Credintial
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Back
Top Bottom