Wakuu,
nilikuwa na flash simu yangu then bahati mbaya pc ilitaka kuanguka so nilipoidaka simu ika chomoka na process iksimama
sasa kila nikijaribu ku flash tena inakataa, simu hiwaki lakini ile...
Wakuu natumia simu aina ya samsung note9, ilikua inachaji fresh with dk 55 simu imejaa chaji yale ilikua fast charge...ghafla imezngua sasa hivi masaa matatu chaji iko asilimia 40.
tatizo...
Habari wataalamu
Natumia windows desktop
Windows Ten pro. Sasa naomba mnielekeze namna ya kutumia au ku enable CLI (Command Line Interface)
Na pia jinsi ya ku disable GUI
(Graphical User...
Natafuta laptop aina hp elite book 840 , corei 5, hdd 500gb, ram 4gb au kama kuna mtu mwenye hp kali itakayonishawishi aweke picha tufanye biashara location DSM
Jiunge na Channel hii leo ufaidi movies na Series kede kede.... [emoji39]
Kwa wale wenye akaunt za Telegram ndo wanauwezo wa kujoin na kupakua Movies [emoji327] kwenye Channel hio..kumbuka hilo...
Habari
Natumia lg smart tv uhd651V lakini siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vijimstari kwa mbali kwenye screen hasa napokuwa naangalia mpira.
Mwanzo nilidhan labda niscratches nikajaribu...
Mnajua kuwa twitter hii kitu ya ku tweet sauti sio?! Kama vile whatsapp voice note ilivyo ila yenyewe inapatikana tu pale unapotaka kutweet basi unaweza kurekodi sauti na uka pause au resume the...
Unajua unaweza kuamua muda unaotaka intaneti izime kwenye simu ?
Katika ulimwengu wa sasa vifaa vya kidijiti vinatengezwa kuweza kufanya kazi mbalimbali ambazo hata bila ya mhusika kutumia nguvu...
Wakuu naomba msaada simu yangu hii Spark 5air kila ninapo touch ina toa sauti na pia haifanyi chochoteee na pia kama inaonesha box Kwa kila Napo touch. Inavyo onesha imejiseti katika mfumo Kwa...
Tarehe ya mwisho ya Septemba 15 inaonekana inazidi kutisha kwa Huawei - laini ya usambazaji ya kampuni hiyo itapungua pamoja na kukatwa kutoka kwa supplier wa chip wa TSMC. Reuters inaripoti...
Salaam wakuu,
Kwa wale ambao wangependa kujivunia visenti kidogo kwa kusikiliza mziki tu kwa simu zao basi narecommend hii app inaitwa current. Kila unaposikiliza music radio station kwenye app...
Wengi wetu hupenda kuangalia ama
kudownload movies kwaajili ya matumizi au kujiburudihsa baadae tunapokua manyumbani mashikeni ama mahala popote tulivu basi ningependa kuwashirikisha kwenye...
Kwa Android users pekee, pakua Netflix kwenye hii link, ambayo iko modded (premium mod) na kukufanya uweze kuangalia free kabisa bila kulipia chochote. Thank me later
Netflix MOD APK (Premium...
Habari ndugu wa JF, nataka nijue utofauti kati ya FAX na SMS.
FAX ina nini cha ziada kuliko SMS maana yake naona kwenye address za Kampuni nyingi wanapenda kutumia hiyo
Pia, nahitaji kujua...
Nilitaka kupiga picha pale kariakoo na camera yangu niipendayo.
Kama mjuavyo hizi dslr ni kubwa ukilinganisha na simu, sometime naweza ficha simu kwa namna fulani ili nipige picha sehemu bila...
Makampuni ya simu yanashindana kwa kubuni camera zenye uwezo mkubwa kila siku, lakini wakati mwingine kila simu ina uzuri na ubaya kwa namna yake,
Kwa wajuzi wabobezi wa mambo ya simu, mje na...
Poleni na Majukumu jamani.
PC yangu leo asubh niliizima kuja kuiwasha Fan inazunguka ila Kioo aki Display chochote wala kuleta Logo ya Dell ila Fan inazunguka. Ila nimeifungua kugusa processor ni...
Wakuu,
Naulizia kama Samsung wana huduma hiyo
Yaani unapeleka simu ya Samsung yenye tatizo na kiasi fulani cha fedha halafu unapewa simu nyingine
Je, Samsung wana huduma hiyo?
Kama Ipo vigezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.