Jana aisee nimeingia kwenye balaa zito la kupatwa na kirusi [emoji17] sikutumwa Ila kujikuta napenda Sana kudownload na kushinda Sana online aisee yamenikuta nikaamua niwape hii elimu nanyi muwe...
Mtandao wa kijamii na mawasiliano WhatsApp umefanya maboresho katika mfumo wa uhifadhi na nafasi 'Storage' kwa kurahisisha namna ya upatikanaji wa data/mafaili (Picha, Gifs, Video na Stika)...
Wakuu habarini za weekend!
Samahani nimefanya installation ya UBUNTU na kuondoa wibdow 10 ila mafaili yangu yakiopo kwenye window 10 siyaoni, pia nimeshindwa kufanya partition katika UBUNTU...
Ukitaka kufungua paypal inabidi ufuate njia hizi
1. visit website ya paypal
Nenda http://paypal.com ukifika utaregister acount na kila kitu i hope haitakushinda. Hakikisha unatumia email ya...
Mara nyingi uwa naweza kuwa nafanya kazi nikasahau kusave nijikuta mara softare imefreeze, nimepoteza kazi kubwa niliyokuwa nimefanya. Ila mara kibao nikiwa nafanya kazi na wenzetu mara nyingi...
Habari wandugu,
Naomba kuuliza kwa waelewa wa mambo jinsi ya kuondoa activation lock (Icloud unlock) kwa apple devices i.e iphone, ipod, ipad, apple watch etc.
Pia isiwe bypass/jailbreak. Yaani...
Nimeona review simu hizi mpya za iPhone 12 kuwa hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger...
Wasalaam,
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao...
Wale wanao pata shida ya Internet mnashauriwa ku download proton VPN then una install na una opt sehemu ya free make kuna kulipia.
Fanyeni hivyo CCM walisha slow down internet
Wakuu habari za Jumapili!
Naombeni msaada wenu pc yangu niliifungua kwa ajili ya kuisafisha, baada ya kuifunga kila ninapoiwasha inatoa ujumbe YOUR PC RAN INTO A PROBLEM AND NEEDS TO RESTART...
Unafahamu VPN Bora ya Simu kuwa Nayo
tunafahamu story ya mjini siku hizi Tanzania ni suala la VPN kwenye simu zetu za mkononi mtu Ana hamu ya kuwa nayo na kujua matumizi yake usijali...
Watalaam wa hizi app naomba kuuliza,ninapotaka kufungua app ambayo inabidi utumia mx player kwa mfano za kuangalia mechi za mpira inaleta ujumbe s/w decoder is not supported,sasa je kuna jinsi ya...
Kwa wale wanaotumia devices ambazo zinatumia operating system ya Android iwe simu ya mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo Jamii Forums | The Home Of Great Thinkers ili kuweza...
Habari zenu Wakuu
Kama kichwa cha habari kinavosema,ningependa kujua kama ninaweza kupata remote control android app kwa ajili ya king'amuzi cha Star Times.
Natanguliza Shukrani.
Wakuu ningependa kutoa ushauri wa kujifunza technology kutokana na dunia tuliyo nayo kwa sasa. Kwa mfano kipindi hiki Ni kigumu kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii kwa Nchi ya Tanzania.
Hivyo...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza,naomba tuambiane kipengere kilichokuwa kigumu kwako wakati unajifunza programming language yoyote ile.
Kwa upande wangu kutokana na research niliyofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.