Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wadau? Ni jinsi gani unaweza kuzuia mtu asiweze kudukua simu yako au aka ku track mienendo yako katika mitandao, yaani kama mtu anataka kuwa Ghost katika mitandao na katika simu yake...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
wadau nlikua na shida naomben kwa MTU yeyote aloitumia 7+ na 8+ naomba anitofautishie kati ya hizo simu mbili ni ipi bora coz naona kama zote ni sawa tu ..kuanzia upande wa picha na mengine, maana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu. Natarajia kufungua workshop kwa ajili ya wood, welding and aluminium works lakini kuna vitu nashindwa kudecide Kama vile brand ya machinery na what tools za kuanza nazo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Mwenye uzoefu na hii simu naomba kujua pros and cons zake. Uzuri wake, changamoto yake, ukaaji wa chaji, camera nk Nina 350,000 nataka nivute hii kitu. Nakaribisha ushauri, hoja...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Lugha inayotumika katika Programming languages zote ni kiingereza. Je zipo sababu za msingi ya kupendelea kiingereza kuliko lugha nyengine yeyote? Kwanini kusiwepo kwa mfano java swahili,chinese...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wakuu, Ukiwa unafanya application katika website huku ukihitajika ku_upload some files na wakati huo website ikawa slow kulingana na kuwa overwhelmed na applications nyingi kutoka kwa watu...
0 Reactions
3 Replies
936 Views
VPN NI NINI? VPN ni kifupi cha Virtual Private Network. Ni encrypted tunnel kati ya vifaa viwili ambayo inakuwezesha kuingia kwenye kila website na huduma nyinginezo za mtandaoni privately na...
26 Reactions
82 Replies
21K Views
Wakuu Salaam Naomba mnielekeze namna ya KUTUMIA VPN...ili niweze KUTUMIA mtandao kutokana na hii shida ya mtandao Asante
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Tangu juzi nikiwa na VPN nilikuwa naweza kupata huduma ya mitandao ya kijamii ikiwemo WhatsApp ila kwa leo imegoma. Kuna njia nyingine?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji touch na kioo cha inchi 13.3 slim mkanda mdogo, Hiii touch huwa inashikana na hiyo display yake hivo kama kuna mwenye nayo aina hii ya pc ambayo imekufa mothetboard yake kioo kizima na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kamati ya EISA imekagua simu janja ambazo zilizindua mwaka huu na kuzawadiwa bora zaidi kati yao - hapa ndio washindi. The OnePlus 8 Pro walipata tuzo bora ya Smartphone. Jopo la waamuzi...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Mauzo ya Iphone yamekua madogo kuliko matarajio ya kampuni ya Apple kupelekea hisa za kampuni kushuka kinyume na matarajio Apple...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari Kuna feature mpya katika facebook utafurahia Nenda kwenye comment andika #ShareWithPride halafu tuma hio comment itageuka rangi na kua kama upinde wa mvua [emoji851][emoji848] We nenda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wajumbe hebu tuelezane mapungufu ya vijana wetu Ni kwamba mimi ni Mjenzi wa Ndege nina shahada katika Ujenzi aa Ndege na vifaa vinavyoruka hewani, nina Diploma of Success katika Maswala ya...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Simu yangu ni infinix note 5 inatumia line mbili, nimepata tatizo la kupoteza kwa network line ya halotel, Nina line mbili zote nikiweka network inakuja baada ya muda zinakata zote su inakuja moja...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Natumia UFO VPN lakini bado siwezi kupost picha Facebook Post za kawaida zinakwenda ila sio picha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nina shida na FL STUDIO free maana nimeingia playstore ipo ya kulipia 47,000 aliye nayo tuma download link
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnifahamishe namna ya kutumia Twitter sababu imefungiwa, je kuna namna nyingine yakutumia?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu zangu naomba msaada wa kupata hiki kifaw adaptor ya Acer Laptop inaunganisha kati ya mothorboard na charger adaptor.kimekufa hakipeleki moto kwenye motherboard hivyo nahitaji kukibadilisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom