Epuka kufanya mambo haya kwenye simu yako
Habari , leo ningependa kushare nanyi kitu hiki muhimu kuhusu simu zetu tunafahamu simu zetu zinatumika katika shughuli nyingi tu za kujipatia kipato...
Wakuu nina dhamira ya kuanza kujifunza kutengeneza simu both software and hardware.. Naombeni nijue wapi naweza anza.. Ajira zimekua kero sasa bora nizamie huku..
Asante!
Sent using Jamii...
Habari wakuu..
Naomba msaada wa hatua kwa hatua namna ya kudownload vitu mbalimbali kwenye torrent. nahitaji kuwa na vitu gani /au app gani kwenye pc na nini cha kufanya ili niweze kupakua vitu...
Am working on Holy Quran App by #FLUTTER
Sio muumini mzuri wa dini na maudhui yake lakini naamini uwepo wa imani na mafundisho ya dini ndio unafanya hadi sasa tunaishi kwa amani
So hii inaweza...
Fahamu njia sahihi ya kuweza kuroot simu yako sasa .............??????
Are rooting apps properly root the phone?
Habari natumai wote wazima leo napenda kuzungumza jqmbo kuhusu rooting baada ya...
Wadau Naomba msaada Wenu juu ya Kampuni hii ya KIKUU TZ, nahitaji kununua. Kitu onliNe kupItia kikuu lkn kabla. Sijafanya hivyo naomba kujua kwa aliyewahi kuagiza kitu na Akafanikiwa, ki ukweli...
Anayejua jinsi ya kudownload kitu chochote kutoka kwenye torrent sites kwa kutumia Internet Download Manager anisaidie jamani.
Sitaki kudownlod kwa kutumia Utorrent au Bitorrent.
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano Alibaba na Kikuu ila je tunapataje vitu
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani...
Habari wakuu,
kuna wengine hawata nielewa .kwa mlionielewa ebu tililiken apo chini mana sitembei kwa raha maden yamezidi uko sina mengi najua kuna majenerali wenzangu wa mitandaoni mnanielewa...
Wadau nilikua natumia Samsung Galaxy s4 mini black aisee hii simu naipenda saaana sema tatizo ni Android version yake iko outdate kako simple yaani ni nzuri sana.
Sema nataka kununua simu pendwa...
Hi there!,
Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:
1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana...
Apple siku zote ndiyo wamekua wakitoa muongozo wa design za smartphones zote duniani kuanzia muonekano wa kasha hadi camera na kioo.
Sasa iphone wametoa toleo jipya la iphone 12 ambalo...
Kwanza kabisa bila kuboa tuanze na historia ya C++ ;
C++ programming languagee ilitengenezwa (vumbuliwa) na Bjarne Stroustrup na timu yake ijulikanayo kama team bell maabara (at & t. USA)...
Kama barafu inauwezo huo inamaanisha nini?
Je ni nyuzi za baridi kua kubwa mno?
Kama barafu inaweza kuelea juu ya maji mda wote huo inamaanisha kua hata wewe unaweza kukaa au kufanya lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.