Habari wataalamu wa teknolojia!
Jamani nimedownloa VPN PROXYMASTER ili niweze kudownload app ya Spotify kwasababu huku nchini kwetu hatuwezi kudownload sasa nikiingia Appstore naambiwa...
Wakuu,unanufaika nini na Samsung yako tofauti na watumiaji wa simu tofauti?
Changamoto kuu ya simu hizi kwangu ni storage yani daah, nachukia balaaa🤔🤔😂
Wazee nakipengele hapa nilikuwa narusha kawaida window image kwenye flash ikawa inaingia haikufika mpaka mwisho ikawa imeji disconnect baada ya hapo mzee haiformatiki nishajaribu njia zote hata za...
Wakuu naomba msaada wenu
Nime design website kwakutumia WYSIWYG website development kisha nikaipublish kwa kutumia FTP katika 000webhosting service ili iweze kupatikana mtandaon lakini baada ya...
smart yako inajua kabisa eneo ulilopo kwa muda wote. hivyoo hivyoo kwenye app zako. Lakini kivipi na wanajuaje [emoji116][emoji116] soma sasa.
Labda unafahamu kuwa vifaa vyako vinaweza kutoa...
Ndugu zangu naomba mnisaidie ni aina gani ya pikipiki ambayo ni imara kwa mazingira ya kila namna hasa vijijini, nahitaji kujua kabla ya kuingia madukani. Ni vyema kama mtanidokeza pia bei yake...
It's a iPhone app found in cydia which lets you download latest Hollywood block buster movie for free.These movies are super clear not the pirated copies...u can also acess music and tv shows. The...
1. Hivi nikiwa na blog ya google na pale nitakapokuwa na tovuti yangu binafsi, ni wapi ambapo patanipatia zaidi hela kutokana na visitors watakaotembelea ukurasa wangu?
2. Naonaga wamiliki wa...
Wakuu naomba kuuliza je nikihifadhi picha na video zang kweny google drive itaweza kusaidia kupunguza nafasi ya kwny memory au kama kuna namna nyngn ili vitu vyangu visipotee na nafac iwepo kwenye...
Habari wana Jf najua wengi mnafahamu hizi Smart Tv na kama hujui nikueleweshe kwa ufupi kwamba ni Tv zilizotengenezwa kwa mfumo wa Android kama ilivyo smartphone yako ya mkononi.
Kwenye hizi...
Nina laptop ya hivyo kuna mtu aliniuzia, mtoto kaipasua sasa ninahitaji kununua nyingine kama hiyo hiyo wapi ninaweza kuipata?
Au nipate laptop nyingine inayokunjwa kama hiyo mfano wa spectre na...
Msaada Wadau,
Haka ka gari kana tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida,,mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking...
October 13, apple waliachia iphone 12series ambapo mpaka sasa iphone 12 sold out, manake ndani ya 24hours zaidi ya simu Million 2 zilikua ordered. Order hzo ni zaid ya mara mbili ya iphone 11...
Badili muonekano wa simu yako ya android kuwa iphone
Naam badili muonekano wa simu yako kuwa iphone na kuweza kufurahia muonekano wake wa kipekee. Hivi utajisikiaje simu yako mfano tecno kuwa na...
Habaran wana jamii leo nimekuja hapa tujifunze jinsi ya kutengeneza GUI apps
Naomben kujua ni application gan nzur kwa kudesign GUI
Tayar nkmeshasoma programming language zote C.C++.PYTHON.java...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.