Juzi juzi tu hapa nilifungua account. Baada tu ya kuifungua nikadeposit pesa USD 10 na cent 50. Ni kama elfu 24 hivi. Hiyo hela niliideposit kutoka kwenye mastar card ya M-PESA. Hela ikaingia na...
Wadau habari zenu naomba msaada kwa anae jua umeme wa bettri lolote la maji au kavu. Nahitaji kujua volt ngap inahitajika ili bettri liweze kukaa na chaji hata siku 3 ikiwa jumla ya matumizi ya...
Habari.. (Kwa mwenye ujuzi na hili swala).
Natumia iPhone 5SE iOS 14, Cellular haikubali ni Wi-Fi Only! Notifications sizioni hadi nikiingia kwenye app husika ndiyo zinatokea ila simu ukiilock...
Wadau natUmia Tecno camon 12 na Microsoft surfaceGo laptop device mbili tofauti sasa nahitaji kuitumia ile icon ya cast iliyopo kwenye simu nimeambatanisha na picha, je nafanyaje ili niweze kuiona...
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba kuelekezwa namna ya kutumia excel ya kwenye simu kwa mfano kuchora graph.
Note: Mimi siyo mtaalamu wa computer ila ni mfuasi wa teknolojia so naelewa haraka...
Hadi kufikia robo ya pili ya mwaka 2020, watumiaji wa intaneti walikuwa milioni 27.1 kutoka milioni 26.8 robo ya kwanza mwaka huu.
Intaneti hiyo hutumiwa zaidi na simu za janja.
Hiyo inaongeza...
Samsung zilizoandikwa jina la toleo kwa nyuma ni rufurished phone?
Mfano hapo juu galaxy s8+
Chief-Mkwawa Bavaria mtz one kcamp Nafaka mkorinto na wengine karibuni mtoe experience zenu kuhusu...
Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku.Ninayo recorder yangu ya Kichina MPEG 4.Shida yake kubwa ni kwamba, ukishawasha mara nyingi inakwamia kwenye boot mpaka uwashe na kuzima weee,ndio...
wakui kwema,
naomben msaada, baada ya kuupdate wins10 yangu version 2004 apps za windows zote hazifunguki kama photos, microsoft store.
naomba kujua tatizo ni nini au solution maana nimegoogle...
Habarini wana body, nataka kununua tv, ila iwe inchi 43, napendelea sana kampuni ya LG au Samsung
Changamoto inakuja kutofautisha Kati ya smart tv na tv ya kawaida,
Naombeni kujuzwa smart tv...
Sifanyi kazi kwenye mtandao wa halotel lakini nimeguswa na hili baada ya juzi kuweka vocha Ya buku tano kwenye line ya mtandao fulani na nikasahau kujiunga. Nilikuwa napakua movie na kucheki video...
Habari wakuu,
Naomba mnisaidie kutatua hili kama linatatulika. Nina simu yangu model ya zamani kidogo inagoma kupakua baadhi ya app naambiwa 'your device isn't compatible with this version'...
Habari great thinkers
Kuna sehemu ninatakiwa kutoa maoni yangu kuhusu mapendekezo ya mfumo bora wa kihasibu kwa ajili ya travel agent company ambayo inanunua tour packages kutoka kwa other tour...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.