Kila ninapojaribu kuplay Azam Tv Max kupitia Bluestacks huwa inaniletea ujumbe huu. Nmejaribu ku-update App but bado kila napojaribu napata huu ujumbe. Solution yake inaweza kuwa nini? Lengo ni...
Wadau tangu nimenunua hii simu huwa sipati notification za apps hata kama nimewasha data ni mpaka nifungue app. Mi nimezoea ukiwasha tu data notifications za app mbalimbali zinaanza ku-pop up...
Habarini wakuu
Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm
Nawasilisha
Wadau nmekuwa nikisafiri sana ndani na nje ya nchi kutokana na nature ya kazi zangu. Changamoto ninayoipata ni kuangalia VPL kupitia Azam.
Mara nyingi natumia App yao kuangalia mpira kupitia...
Hallo naomba mtu anisaidie hivi vitu
1.Object
2.Method
3.Events
4.properties
5.class
Vinatumika vipi kwenye VB maana najifunza mwenyewe bado sijaelewa kabisa
Mfano unakuta
Form1.Inverted = True...
watu wengi wanaangaika ni njia gani watatumia kurudisha vitu vyao wanavyovipenda kwenye simu. Kuna njia za kufanya lakini leo hii nimekuletea njia bora ya kufanya [emoji116] kurudisha vitu vyako...
Wakuu mm nmeapply chuo kwenda kusomea computing and communication technology so nahitaj msaada wa kuiyelewa it nahitaj kujifunza ndan ya hii app ya jamii forum ilinikifik chuo niwe na jielewa wa...
Habari zenu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba nina idea ya kutengeneza mobile app ambayo itakuwa ni music streaming kama ilivyo spotify ama youtube music n.k.
Kama...
Kama nilivyoseMa hapo juu nina laptop aina ya Microsoft surfaceGo ina windows 10, ninapotaka kuiNgia kwenye mtandao huwa natumia WIFI au USB TITHERING kuunganisha network toka kwenye simu. Lahaula...
Wengi wanajiuliza je ni namna gani naweza patikana katika network.?
Namaanisha mfano unatasearch OKIWIRA katika google napatikana mahala fulani..
Je kuna taratibu za kujisajili katika JAMHURI...
Kwenye biashara unaambiwa kama hauna speed kaa pembeni.
Samsung kwa mwaka huu amezindua simu 35 za aina tofauti, iPhone ni 1 tuh.
Twende chap chap
Kutumia iPhone ni heshima kwa baadhi ya jamii...
Wakuu habari za jioni nitangulize shukrani zangu kwenu kwa sababu najua mtanisaidia katika hili
Simu yangu TECNO W5 ina matatizo yafuatayo
=Haiwashi WI-FI
=Haiwashi BLUETOOTH
=Haiwashi RADIO
=GPS...
Watu wengi tumekuwa na changamoto za graphic card ikitegemea na na mashine kama laptop ama desktop zenye graphic card mpunga wake ni mrefu leo, ntakuwekea baadh ya game 50 unazo weza kucheza bila...
RecordPad Sound Recorder,
wakuu mwenye kuwa na reg key ya hii kitu hapo juu tafadhari.nimeshindwa kuinunua online maana sijui. mwenye kunisaidia tafadhari
Habarini wadau wa tech
Nimesoma habari mbali mbali kumhusu huyu mwamba iPhone 12 pro ni hatari
Binafsi ni fan wa apple kindaki ndaki! Iphone haijawahi kuniangusha na sijawahi jutia kutumia apple...
Bila shaka mu wazima wa afya, napenda kujua namna ya kuweka background colour kwenye picha kupitia simu.
Je, naweza kuweza kuweka background colour bila kutumia app yoyote? Kama hapana ni app...
Wakuu,
Nikiwasha TV nikaweka Chanel inaonyesha picha kama dk 1 tu au wakati mwingine sekunde kadhaa halafu screen inazima inabaki audio tu picha hazionekani.
Nimejaribu kusoma kijitabu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.