Natangulia kusema hii ni kwa wenye simu ambazo zipo ROOTED
Kama simu yako umeshai ROOT
IMEHUISHWA:
KWANZA: Dawnload luck patcher hapa LUCKY PATCHER
PILI: Dawnload busybox hapa BUSYBOX
Haya sasa...
Kuna mtu kaniletea simu yake hapa sumsung a10 ikiwa imefanyiwa factory reset lakini bado inadai password na hata email yake kaisahau!
Wajuzi Kuna namna ipi ya kufanya hapa kutatua hili tatizo?
Habari zenu wakuu, nina shida kidogo nahitaji ufumbuzi. Miezi miwili iliopita nilinunua gari toka Japan (2001 Land Cruiser Prado) na kwa sasa limeshafika na nimeanza kulitumia. Tatizo ni kwamba...
Naombeni mnifafanulie refurbished na second hand phones zinakuwaje hizo simu na ipi simu bora kati ya samsung mpya ya hapa nyumbani na used kutoka nje ya nchi S Korea
Wakuu line yangu ina shida sasa nataka kuwapigia customer care kwa kutumia mtandao mwingine, mwenye kujua namba ya customer care ya 078---------- anisaidie.
Habarini wakuu, nipo najifunza mobile development na nilikuwa nimefikia kipengele cha kutumia API, nimetumia API zile za free na nimepata matokeo chanya.
Sasa changamoto yangu ni jinsi ya kupata...
Salaam,
Nimekuwa nikitumia startimes decoder zile za zamani za antena thou situmii antena waya unaishia dirishani na napata channels.
Ni mpenzi wa mipira ligi zote, Budesliga, Scotland, Turkish...
Naomba wanajamvi kwa mwenye elimu ya kamera za smartphone kupiga picha au video kama inavoonekana katika attachment file anijulishe picha ambazo inaoneka kawaida katika lakin pembeni yake iko blured
Natumai muwazima wana JF
Kumekuwa na wimbi kubwa kwa sasa la viongozi wa kisiasa, wanamuziki na watu mbalimbali maarufu na ata wasio maarufu account zao za mtandao wa instagram kuwa na...
Habari zenu
Laptop yangu imekumbwa na shida hiyo
Ipo fresh feni inazunguruka fresh ila shida unaweza ukaitumia ila kuna wakati inaganda haibonyezeki batani yoyote
Naamua kuizima tena na...
Nimenunua simu LG V20 natumia line ya halotel 4G nimeset Access Point zile ikakubali ina browse internet fresh youtube unaangalia vizuri na app ya jamii forum inafanya kazi ila tatizo haitumi...
Msaada wenu nimekwama Naomba kujua njia ya ku connect hotspot ya my iOS to ps4 nimejaribu kila njia haitokei kwenye ps4 ila kwenye pc naipata chap lakini kila nkijaribu kwenye ps4 haisomi...
Habari za muda huu ndugu zangu. Naomba kwa kuanza kuwa mimi ni mpenz sana wa simu nzuri, kiukwel kabisa mwanzoni nilikuwa natumia samsung note series. Nilianza note 5 hadi 10 ila mambo ya ada...
Wadau najua jamiiforum ni kisima cha maarifa, hivyo hitaji langu litapatiwa ufumbuzi hapa hapa, kama kichwa cha somo mimi nahitaji kujua kama kuna app ambayo naweza kui install kwenye laptop na...
Wakuu,
Kwanza nawasalimu wote,pili natoa shukrani za dhati kwenu humu maana kuhusu mambo ya Tech and Gadgets hua nakula shule ya maana humu.
Leo nakuja na ombi/msaada wa jinsi gani naweza...
Umepewa au umejipatia mwenyewe kamera yako (mpya) hongera!. Ukiwa na kamera yenye uwezo (mega pixels) mkubwa na ukiwa unapenda piga picha hapo kuna maisha flani hivi unayaishi na kupata uzoefu...
Pamoja na sifa za kuwa na Kiwango kikubwa za ulinzi, simu za iOS naona bado kuna sehemu hawakufikiria zaidi au wameamua kupotezea.
1 . Kuhusu usalama wa simu kwa nini ukiwa umelock simu bado mtu...
Habari wanajamvi?Natumaini wote mu wazima wa Afya njema.Naomba kuuliza.
Kati ya hizo Smart Tv hapo juu ni ipi ina ubora na quality ya picture nzuri,kwa alie na uzoefu nazo naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.