Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Aseeh naimben msaada simu tecno camon 12 Mtu akipiga anaajulishwa kwamba namba ipo busy na huku unakuta missedcall tu yan nimejaribu mbinu nying ila naona nimefika ukomo wakubwa na wataalamu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasemekana kwamba kwa sasa M-Pesa MasterCard inapoExpire hakuna tena kuiendeleza kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma, na hii ni baada ya kujaribu kuiendeleza Card yangu iliyoExpire baada ya mwezi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Binafsi sijasomea mambo ya Sana'a hata kidogo ila napenda kufahamu vitu muhimu kama hivyo nimekuwa nikishindwa kutofautisha kati ya VFX na CGI na utendaji wake wa kazi embu tuelekezane kidogo kwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Je kunatofauti gani ya matumizi ya remote ya G voice na Remote ya kawaida? Je na remote ya g voice naweza kuitumia kama remote ya kawaida? Vp kuhusiana na ulaji wake wa bundle? Je Kuna yeyote...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu zangu. Nimekuja hapa kuna kitu na mimi naomba mnifahamishe maana naonaga ila siwez kutengeza. Unakuta mtu anakupa link labla ana kwambia download diamond ft david na pale...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wakuu nahitaj msaada namana ya kubaypass FRP kwenye samaung A20 nmejarbu clips za youtube lkn imebuma anayejua kwa trick nyingne au tool yoyote ya window anisaidie
0 Reactions
4 Replies
626 Views
Habari wakuu, Teknolojia ni bahari yenye kina kikubwa sana ambacho wengi wetu hatujawahi kukifikia. Leo hii tutajuzana jinsi ya kufuatilia au kutrack mahala (location) ulipo au mtu uliyepanga nae...
5 Reactions
15 Replies
7K Views
1. Nina simu Samsung s6 plus hua inatabia ya kujizima tu, unaweza weka mfukoni ukitoa unakuta imeshazima sijajua kwanini inafanya hivyo. 2.Nina laptop HP button 3 hazifanyi kazi je itakuwa vumbi...
0 Reactions
5 Replies
680 Views
Tatizo ni nini hapa wakuu toka jana mchana network haisomi kwa sim yang inaandika emergence calls only msaada kwa anaejua NB: nimeangalia imei za simu yangu. zimebadilishwa sio kama za mwanzoni.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada kwa wajuzi, wataalam, na wazoefu, kuna utofauti gani kati ya Hisense TV zitokazo China na Hisense tv zitokazo South Africa, nikimaanisha utofauti wa ubora, au ni brand tu...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Habarini, mara kadhaa nimeona kuna watu wanauliza vitu ambavyo tayari vimeshajadiliwa, sasa kumueleza kitu mtu unakosa apetite ya kuandika hivyo inakuwa bora utag huo uzi ili kuokoa muda...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu ninamiliki iphone 7plus, miezi kadhaa nilipata update ya ya IOS 13. Ikaja na tatizo kuto ku preview front Camera kwenye Third party apps kama Vile Whatsaap, Zoom, Telegram, Instagram NK...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalam msaada wa kuondoa rangi ya blue kwenye LG TV..Blue inazidi had picha inaonekana kwa shida. Model 43LJ550V-TA Software version 03.50.30 Serial no. 705EGFBL8203
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Zifuatazo ni hatua jinsi ya kuhakiki kama kuna mtu ana dukua mawasiliano yako ya WhatsApp kupitia kipengele cha Whatsapp web kwa wenye simu yako. Kwakuwa kipengele hicho kiliwekwa kwaajili ya...
41 Reactions
139 Replies
40K Views
Habari zenu wakuu!! Leo ningependa kuwashirikisha baadhi ya vitu katika moja ya apps maarufu ya whatsApp ambavyo nadhani watu wengi hawafahamu. Kama ni mtu ambae unajali usalama wa taarifa zako...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wadau, naomba kujuzwa kwanini kumekuwepo na mfumo wa aina mbili kupata matangazo ya runinga yaani dish na antenna lengo lake ni nini ikiwa matangazo ni yale yale? Na gharama zikoje...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mweny soft ware ya Spyhunter 5 plz naomba tupia hum nnashda nayo Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
35K Views
Kindly let me go straight to the point, Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information. I feel like nachunguzwa My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu...
4 Reactions
143 Replies
11K Views
Habarini wadau Mimi ni kijana mwenye degree ya IT, nilikuwa nikifanya kazi kampuni ya wiafrica au cootel, sasa nimefukuzwa na ni mgonjwa nyumbani na kodi ya nyumba inanisubiri. Na chanzo cha...
1 Reactions
142 Replies
16K Views
Nitaweka Link zipatazo 100 Uwe Fasta Tu Kujoin haraka kabla group halijajaa hii kwa bloggers ambao ni wavivu wa kushare fb au ambao wameshindwa kbca haya magroup ukipambana sana uwezi kosa $20 kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom