Habarin Za Muda Huu Wadau Wote Hapa Jukwaani.
Direct To The Point;
Mimi Ni Mudau Mkubwa Wa Hizi Samsung Phones But Kwa Hili La Users Reviews Zinazotolewa Kwa Simu Hizi Samsung S20 Ultra Na Note...
Hello, kwa mwenye uzoefu atusaidie,,, nimejaribu kuweka page level ads au auto ads lakini kila nikiweka inakuja na error ya hivi,,
The requested ad might not be shown to your users for the...
Wiki hii Apple imekuwa kampuni ya kwanza duniani kuwa na Thamani kubwa zaidi baada ya hisa zake kufika $2Trillion kwa market capitalization.
Yaani kwa sasa Apple ina uwezo wa kuzinunua kampuni...
Habari wakuu,
Ninaomba kwa mwenye kujua kama inawezekana kufanya Conference call ya watu 15 na kuendelea.Nimejaribu inaishia watu 5 tu, Msaada tafadhali.
Wadau, nikitembelea miji ya Arusha, Moshi na Zanzibar naona watu wanalipia cable TV na wanapata channel kibao za maana tu, hata English Premier league unaipata kiulaini kwa TZS10,000 tu. Niliwahi...
Nimepoteza data zangu za muhimu zilizokuwa kwenye sd card ambazo siku back up...
Camera default storage ilkuwa to SD card na vitu kibao kwa miezi kadhaa , baaadhi ya vitu nilimove from phone to...
Wakuu nasikia kuna application kwenye Simu za android ambayo ukiweka kwenye simu nyingine unapata sms zote anazotumiwa,sasa je!
ni ipi hiyo na naipataje
Habari zenu.
Naomba kwa yeyote mwenye computer games zifuatazo:
>>>COD Modern Warfare Remastered
>>>Battlefield V
>>>Far cry V
Ninashida nazo tunaweza kubadilishana kwa games nilizonazo.
Mimi...
AFTER Windows 3.11, all Windows were equipped with a database known as the Registry Editor. This editor is the most important and essential part of a computer. A computer performs all its...
Well it becomes sometimes hard to believe that I keep my system so neat and tidy and despite that on scanning my system from a website relatively unknown but quite helpful I come to know that the...
Here is a problem to solve, how gona you tackle it?
There are seven classes of the package PhoneBookOscar as follows
1. Company.java
2. Contact.java
3. ContactExtended.java
4. Item.java
5...
Sijui ni nini huwa kinaikumba hii mitandao. Mwanzo wanakuwa vizuti sana lakini kadri siku zinavyosogea ndio na wao wanazidi kuwa hovyo.
Kiufupi Tanzania internet bado sana.
Sent using Jamii...
Habarini za leo wadau,
Naomba kuwakaribisha hapa na kuwapa ajira endapo nitaridhika na namna ambavyo unaweza kufanya hivi vitu nitakavyouliza hapa.
1.Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa...
Wadau habari nahitaji kununua flash, kuna flash nimeiona madukani ina material ya chuma inaitwa TJ ambao mmewai kuzitumia zipoje kwenye ubora.
Bei nimeambiwa elfu 25 ukubwa GB 32
Sijui nifanyaje wadau maana simu yangu ina laini ya halotel na internet inasumbua hadi nisubiri usiku. Msaada kwa wataalam wa IT kama kuna cha kufanya ili irudi kuwa bomba.
Habari za jioni wataalamu katika hili jukwaa
Napenda kujifunza mambo ya Teknolojia kila siku,pia napenda kufahamu na kujifunza mobile maintanance ,ku frash simu na moderm.
Je, naweza pata...
Najiuliza kwanini tusilete simu bora toka Ulaya kama Nokia ambayo mwaka 2007 nilinunua elfu sabini na ilikuwa inakaa na chaji wiki nzima na huku naitumia, ilitengenezwa nchini Hungary barani Ulaya...
Laptop yangu ndani ya hizi siku 3 imekuwa slow sana yaani inafika mahali hata kutafuta file tu kwa kusearch ni kipengele kibaya nime update window tayari na inasema no action need sasa leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.