Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za jioni, Nina TV yangu ni star x 32 inch led tv shida yake inajizima kila baada ya dakika kumi mara ya kwanza nilijua ni sleeping timer nimekagua wapi. Naombeni msaada
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimenunua laptop aina ya Microsoft SurfaceGo nikashusha window na baadae ikawa inafanya kazi kama kawaida, nika shut down nikaitunza lkn baada ya muda nilipotaka kuitumia imegoma kabsa kuwaka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mada hapo juu, tangu kuhama kwa satellite ya eutelsat 7b kwenda 7c nimepoteza channel ya Trace Mziki na zote za nickelodeon, baby tv, mbc3 nk, msaada pliz
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni kipindi kirefu sasa kila wakati napigiwa simu na UNKNOWN NUMBER Na ukipokea haongei kwa siku inaweza kupiga mara nne au tano kila siku hivyo kusababisha usumbufu usio wa lazima mwenye uelewa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada wenu juu ya laptop yangu aina ya microsoft surface go. Kwa bahati mbaya nilikuwa nabonyeza kuzima na kuwasha ndipo tatizo lilipoanzia ikaniletea maelezo ya bitlocker na ikawa...
0 Reactions
5 Replies
964 Views
Habarini za saizi wadau wa Jamii Forums. Nimepoteza simu ya Tecno Camon 11 leo, nilikuwa naomba msaada wenu wa ushauri ni nini hatua ya kwanza ya kuchukua kuanzia sasa na ni namna gani nitaweza...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Ndugu zangu, Bila shaka tumezoea kuwa kila jambo lina wa kulishughulikia yaani "kila mtu na kazi yake" Lakini kuna kitu dharula ambapo unajikuta kuna vingine muda mwingine inabidi mtu...
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Habari Vodacom, Mimi nimejiunga hivi karibun kwenye Mpesa App. Napendekeza muweke option ya kuserve number za Luku, Maji, DSTV nk hii itamrahishia sana mteja kwa kuokoa muda na kuepuka makosa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Chief-Mkwawa naomba maoni yako hapa.
0 Reactions
3 Replies
639 Views
Naomba mnieleweshe app lahis yakutumia ku download nyimbo kwenye iPhone kama ilivyo kwenye simu za android watu wanatumia app kama snaptube, video oder nk sasa naona wenye uelewa mnisaidie ni app...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wana JF, Naomba kufahamu kuhusu ving'amuzi vya TING. Nimesikia wana packages 2, unayolipia elfu 10 kwa mwezi na ya 25 kwa mwezi. Je, ni channels gani zinapatikana kwenya hizi packages, na...
1 Reactions
58 Replies
35K Views
Habari zenu humu Wakuu Msaada tafadhali kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimefungua ila sehemu kuirudisha pananishinda mpaka nataka kukasirika sijui nakosea wapi? 😞
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habarini wana jamvi, naomba kujua ni namna gani naweza kutatua tatizo hili la ku fail verification pindi napokuwa niki sign out kwenye iCloud[emoji846]
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za Asubuhi Wapwa? Naombeni nilete kitu kwenu, mimi ni mtumiaji mzuri wa unofficial WhatsApp kama vile Yo WhatsApp , FM WhatsApp, GB WhatsApp , shida imekuja jana baada ya simu yangu kuwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kamusi ya Kiingereza kwa kiswahili inapatikana play store. Inaonesha pia namna ya kutamka maneno https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.co.wadau.dictionary Sent using Jamii Forums...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nmenunua cd ya game la FIFA 14 kila nkijarbu kuifungua ili nicheze inaleta error e0001 mwenye utaalam anisaidie.
0 Reactions
41 Replies
9K Views
wakuu, nimedownload miracle thunder 3.02 na kuinstall then nilipojaribu kui open inaleta error hiyo hapo chini je nawezaje kui solve hiyo error????
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika vitu nilikua natamani siku zote ni night/dark mode kwa whatsapp. Hatimae whatspp wamezindua huo mfumo kwa watumiaji wote wa whatsapp. Huu ni mfumo unaopunguza au kuondoa kabisa mwanga...
7 Reactions
59 Replies
8K Views
Zaidi ya watu nusu bilioni Barani Afrika kwa sasa wamejiunga na huduma ya simu za mikononi, hatua ambayo si tu inawaunganisha bali pia inatoa fursa kwao kuweza kupata huduma nyingine kama vile...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Wanajamvi habari, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mimi ni IT professional nimeajiriwa taasisi binafsi ninae hitaji kusogea kwenye sayansi ya data kwa yeyote mzoefu alie katika kada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom