Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari nyote, nahitaji mtu ama mtaalam anielekeze namna ya kupata data kutoka NBS. Nina shida nazo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni nisaidie kuweka window 10 nmedownload media creation tools.exe 32bit kwenye window 7 inaniandikia something happen
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kikundi cha hackers wa Anonymous kinadai kuwa wamefanikiwa kuingilia tovuti ya TTCL na kupata data za wafanyakazi 64,000. Anonymous’ #OpAfrica Claims 64,000 Workers Data of Tanzanian Telecom Firm
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hii nafikir itatusaidia kidogo sisi wazee wa heavy usage hata kama mida sio mizuri.
20 Reactions
112 Replies
29K Views
Wakuu hawa walioliangamiza Shirika bado wapo TTCL inajiribu kujivuta irudi katika Soko Bado Wanakwamisha tena. Nilinunua line ya TTCL tarehe 26/4/2017 sasa ilikua ina Ofa Kufikia Tarehe Moja...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu za mihangaiko, Naomba kujua ni wapi naweza kupata line za TTCL hasa kwa maeneo ya Kinondoni(Dar es salaam). Nimeona bando lao jipya nimevutiwa nalo ghafla. Pia ningependa kujulishwa...
3 Reactions
52 Replies
13K Views
Karibu tufanye kazi pamoja. #opportunity #job
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba wataalamu wa friji, namna ya kujua compressor imekwisha gasi, pia utajuaje kuwa compressor imejaa gas wakati gas inawekwa. Thanks
0 Reactions
13 Replies
23K Views
Et waungwana wataalam wa IT, Kuna yeyote anayewajua maprogrammer waliocode jamiiforums? Tuwajue ili tuwape credit kwa kudevelop platform hii adhimu sana kwa waTZ!
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za humu ndani, Nina king'amuzi cha Azam TV nahitaji niunganishe na Kompyuta mpakato. Kwa anayefahamu namna ya kuunganisha naomba anielekeze Shukrani.
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Kwa wale wakuzi natumia iOS inaniwia vigumu kupakua movie au kufuatilia vitu hivyo
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Habari wadau, wap naweza pata computer ya mkono yaan laptops aina ya LENOVO THINKPAD T490S AU LENOVO THINKPAD L390 AU LENOVO THINKPAD X kwa hapa Tanzania?? Nataka iwe mpya.....pia laptop ipi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nisaidieni, hii simu inanikosesha raha. Tangu niinunue kwa mtu haijawahi kukamata network hata siku moja nikiwa ndani, inakamata nje tu, nje kwenyewe mpaka sehemu za muinuko au miti, sehemu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna ambae amefanikiwa kupata dream league 2020 maake mimi nimeipata kwenye apkpure lakini inaniomba mpk niidowanlod kwenye play store, kama kuna mwenye maujanja zaidi anisaidie Sent using Jamii...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakubwa, Natafuta software kwa ajili ya kuhifadhi data zikae kama mafile ya aina zote yakae humor ili siku labda PC vitu vikifutika bahati mbaya ama nikipiga window niitumie hiyo kurestore vitu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Post iliyo pita nilikuelezea kuwa utajiri mkubwa upo kwa wawekezaji walio wekeza kwenye teknolojia , sikatai kwamba wawekezaji wa kwenye mafuta na Madini na wengine wapo ila tunaona kwenye...
2 Reactions
51 Replies
5K Views
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. So haya na maswali ya...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimenunua star x tv lakini nikiunga redio hailii bass, inalia speaker za pembeni tu, nimeangalia kwenye setting za tv nikakuta trebble na bass ziko blinked yaani hazioneshi kufanya kazi Mwenye...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wale wanaopenda kuboost account zao za instagram kwa personal uses au biashara unaweza kutumia telegram kutimiza lengo lako. Pitia hapa kidogo " Also known as Telegram Pods, Telegram...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini. Nina Lg home theatre ya watts 1000. Ilikua nzima kabisa Kwa kila kitu. Hasa leo nikataka kujaribu kitu ambacho ni kuunganisha redio na pc kutumia waya wa HDMI. Kwa kweli matokeo yake...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom