Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau naulizia wapi zinapatikana intermediate switch za 2 gan, 3gang na 4gang maana naona kama ni adimu sana kupatika. wanaojua mafundi wenzangu tunaweza kushare hapa.
0 Reactions
6 Replies
992 Views
Hii ni baadhi michoro inayoeleza ufanyaji kazi wa friji. Haya wenye utaalam na mambo ya coooling system tupeni shule huku tukitafuta maelezo mengine. Kwa nini kitu kinatwa...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Screen ya kompyuta yangu aina ya Dell Inspiron 5050 imekuwa kama imepata kreki na sijui nini kilitokea naomba msaada chakufanya. Picha ya kwanza ikiwa imewashwa na pili ikiwa imezimwa
0 Reactions
6 Replies
953 Views
Jaman PC yangu ilikuwa inakwama kwama sada nikazima direct(kupitia batan) sasa nilipo washaa ikaniambia automatic repal ikazunguruka ikaja kioo cheus nikazima tena kuwasha mambo ndio hayo mzigo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wa Jf , TV yangu ni Smart lakini upande wa Wireless haifanyi kazi mpaka SAMSUNG WIRELESS LAN ADAPTER au NETWORK CABLE Ombi langu wapi naweza pata hiyo Samsung Wireless LAN Adapter
0 Reactions
0 Replies
278 Views
Habari zenu wakuu, Computer yangu aina ya HP EliteBook, ghafla tu nikiwa naitumia ikaanza kuonyesha maandishi mara mbili mbili yaani kama simu vile ikiwa imekifa kioo. Sasa nashangaa hili tatzo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kabla sijareset simu picha zangu zilikuwa zinaonekana kwenye google photo,lakin baada ya kureset sioni picha,msaada plz napataje picha zangu,ni za mhimi sana
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ninataka kununua simu yenye perfomance nzuri, camera nzuri kwa badget ya 350,000 tu. Brand nataka iwe samsung au iphone. CHIEF MKWAWA
1 Reactions
65 Replies
7K Views
Hizo n screenshot kutoka kwenye series inayoitwa HANNA season ya pili, episode ya 7 Hiyo simu ilionekana nikaiscreenshot kama hivyo. Sasa naomba kama kunamtu kwa huo muonekano anaweza kuitambua...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hii betri naweza pata kwa bei ipi dukani Kariakoo?
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavojieleza, nimeona watu wanaongelea brand tofauti tofauti kama TCL, Hisense, Boss, n.k. Hebu tuambizane hapa ukiachana na Samsung na LG Brand ipi inafuatia baada ya hao jamaa?
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Shule pamoja na taasisi zingine za elimu zinaweza kupata na kutumia fursa ya kutuma taarifa kwa mamia au maelfu ya wazazi/walezi na wadau wengine wa elimu kwa wakati mmoja kwa sasa. Zamani au kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu,kumekua na music player tofaut za simu zetu,ila hadi sasa sizan kama kuna wa kuipita Poweramp... Tangu enzi za symbian hii player ilkua yamoto..na ilikua ngumu sana kuchakachua.. Jinsi ya...
11 Reactions
281 Replies
32K Views
Wakuu simu yangu ilikuwa inafanya edditing kila ni kiandika, mfano Grammer ilikuwa ina leta neno sahihi na hii ilikuwa ni kote kote iwe naandila sms ya kawaida, iwe ni whatsapp, facebook au hata...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Wakuu, habari yenu natumai mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya maisha ya kila siku. Nimepata Windows 10 iso file then nikatengeneza USB bootable kwa kutumia Rufus (NTFS file,GPT partition)...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Adruino hiki kifaa kinapatikana wapi na kina kazi gani maana nimeingia YouTube nikakiona na nimetaka kukifahamu zaidi Wanaokijua nisaidieni .........asanteni..
0 Reactions
30 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Mie changamoto yangu ni namna ya kupata ARDUINO original nyingi nakutana nazo ni clone tu wazee.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ajali nyingi zitokeazo watu wamekuwa wakipoteza maisha hasa ktk magari yenye bonet 'pua'Kama niliyoyataja hapo juu.sasa nini kifanyike kuepusha ajali? Inabidi kati ya bonet na anapokaa dereva...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi. Personally am...
9 Reactions
113 Replies
12K Views
Habari za wakati wakuu natumai mu wazima wa afya Husika na kichwa cha habari apo juu leo nimepokea email kutoka Google kuhusiana na my activity za Mwezi agust. Baada ya kuziona activities zote...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom