Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Anaandika Bill Gate. Happy 90th birthday, Warren! https://t.co/8nH2EulTR4
0 Reactions
0 Replies
339 Views
A Japanese company has announced the successful test drive of a flying car. Sky Drive Inc. conducted the public demonstration on August 25, the company said in a news release, at the Toyota Test...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada wenu jinsi ya kurudishaa charting za SMS kw
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari zenu wa JF naamini hapa kuna vichwa vya ukweli mtanisaidia hili, Mimi nina experia S natumia android na ndugu yangu ana iphone 4s anatumia apple,tumekuwa na ubishi sana kila mmoja...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wa sehemu naweza pata kioo cha simu aina ya huwawei honor NB: Niko mkoani msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada jinsi ya kufuta meseji zoteee messenger Iwe kama ndio nime download leo. Kwakuwa ina meseji taka za yangu 2010. Lakini sio ile njia ya kufuta kwa moja mojaa. Au hata kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
FDA to Review Fast-tracked COVID Vaccine by October as New Study Proves Microscopic Robots Invisible to Naked Eye Now Can Now be Injected into Blood Stream Laser activated tiny microscopic...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Android version 4.4 KitKat chipset MEDIATEK MT 6577 mwenye link anisaidiee!!
0 Reactions
2 Replies
654 Views
Habari wanajukwaa Simu hii japo ni mpya ila kwenye suala la fingerprint unaweza kuweka zaidi ya mara nne isitokea ikagoma muda mwingine inakubali ila muda mwingine inagoma. Hii ni tofauti na simu...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wajumbe heshima yenu, tafadhali msaada kwenye tuta, maji ya betri ya solar yanapoisha, ni maji gani sahihi ya kuyaweka kama replacement ya maji ya mwanzo? Je ni maji makali? Au maji baridi? Maana...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Messaging app, Telegram has launched one-on-one video calls for Android and iOS. The company announced the new development noting that 2020 had highlighted the need for face-to-face communication...
5 Reactions
42 Replies
5K Views
wakuu habari? nimepata changamoto ya hii simu samsung c7pro inaleta ujumbe kuwa ina unyevu kwenye pot ya usb hadi imekataa kuchaji ikiwa imewashwa hadi izimwe. nimejaribu kukausha na hewa ya moto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Programu (Malware) ambazo zinawasajili watumiaji bila ruhusa yao zimepatikana kwenye maelfu ya simu zinazouzwa Afrika. Simu 53,000 za Tecno zenye virusi zimeuzwa Ethiopia, Cameroon, Misri, Ghana...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Wakuu nna ki tecno K7 natumia line ya Tigo karibia siku ya 6 leo watu wote wakinipigia wanaambiwa niko busy.. Na mimi siwez kuona hata missed call zao.. Ila naweza kupiga na kutuma msg. Kupokea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
je ni core(MT) i5-8265U CPU au 1.60GHz au ni 1.8GHz ??? msaada wenu wakuu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari na karibu, Teknolojia ya simu imekua sana hasa kwa simu za mkononi (smartphone) au simu janja, lakini vipi umeshawahi kujiuliza ivi ni simu gani nzuri zaidi duniani kote? najua watu wengi...
1 Reactions
19 Replies
11K Views
1.washa simu kisha washa data. 2.Bonyeza settings. 3.Bonyeza apps. 4.kisha zitakuja app nyingi ulizodownload,sasa anza na zile zenye mb nyingi kama WhatsApp, unaibonyeza 5.Bonyeza storage...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni msaada wa kudownload subtittle
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Habar zenu wakuu kuna simu hapa inasumbua sijajuwa naombeni msaada. Simu yenyewe ni Samsung Galaxy Tab A 2016 Simu hii tatzo linakuja pale napo washa data mnara ama network inashuka mara inapanda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa wadau PC yangu haina icon ya Bluetooth niliambiwa nijaribu Ku-update Bluetooth driver au kudowload bado haioneshi icon ya Bluetooth. Nifanyaje?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom