Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kampuni ya GOOGLE upande wa matangazo imesitisha malipo yake ya matangazo yanayopatikana kwenye application za simu (admob) na blog au website (AdSense), Google wamenitumia E-mail kufikia mapema...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu habari, Nina flash disk yangu hapa TOSHIBA 16GB juzi kati nilimuazimisha rafiki yangu akapigie window. Kwa bahati mbaya ilivyorudi kila nikiiweka kwenye PC inanambia TO USE THIS DISK NEED...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mambo vipi wadau, kuna ka tv kangu kalianguka kakavunjika kioo,nlikuwa nauliza kama nitapata kioo saizi hiyo kwa kampuni hiyo na kwa bei gani pia,au kama vioo vinaingilianaga basi nichukue...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau simu yangu samsung note 9 inagoma kudownload app ya netflix Nasaidiwaje? Natanguliza shukrani
0 Reactions
12 Replies
3K Views
How to renew webstorm/phpstorm 30 days license on windows using EM's_JBrains_Hack_1.0.2.exe download link EM's_JBrains_Hack_1.0.2_Installer.exe Go to Help -> Usage , to learn how to use the...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, natumaini mu wazima. Kuna zoezi fulani nataka kulirahisisha excel Ni kwamba nina sheet mbili, sheet ya pili ina list ya vitu navyotaka kuviweka kwenye sheet ya kwanza endapo...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wana JF naomba kwa anayejua ku-connect internet njia ya wireless computer yangu inatumia window 10 nimejaribu kwa siku nyingi na sikufanikiwa ila kuna jamaa kajaribu nae kashindwa akawa ameniambia...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwa pesa hii sh 200,000/= simu gani Kali naweza kupata. Naombeni ushauri wenu wadau JF.
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Wakuu naombeni msaada mwenye anajua jinsi ya kutoa password kwenye laptop anipe ufafanuzi nafanyaje hili
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujuzwa jinsi kudownload latest movies kwa kutumia simu(smartphone)
4 Reactions
215 Replies
19K Views
Wataalam naomba msaada wa mawazo, nimetengeza marksheet ya matokeo ya wanafunzi na nimefanikiwa kutengeneza report card ila changamoto ninayokumbana nayo report inaonekana ya mwanafunzi mmoja tu...
1 Reactions
0 Replies
709 Views
Wenye kufahamu naomba jibu:- Kwanini simu za mkononi haziwezi kukamata matangazo ya redio yanayorushwa kwa njia ya AM na SW ?
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Hivi ipi simu kali hapo kwa upande wa quarity ya camera na kila kitu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jamii, Nina jambo ningependa kujuzwa kuhusu hizi namba za kupiga simu za nchi tofauti tofauti. Kwa wanaofahamu ukitaka kupiga simu nje ya nchi kama Marekani lazima uanze na +1 kisa...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Jamani nina shida na Account ya M-Pesa ni kama imexpire na ina hela, mwenye uelewa jinsi ya kuactivate ili irudi katika Hali yake anisaidia, nikiwapigia Voda kwa namba yao wanaongea kiingereza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni kueleweshwa ni kwa namna gan AC ya gari inatumia mafuta. Mfano nikiwa nimeweka gari on bila kuliwasha kabisa alafu nikawasha AC mafuta yanatumika?
2 Reactions
50 Replies
10K Views
Nilikua naomba kujua ni aina gani ya meseji ambazo ukimtumia mtu kwenye simu yake! Akisha isoma na kuifungua inafutika kwake? Miaka flani nilikua natumia kwenye kitochi changu! ila kwa sasa hivi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natumia windows 10.Katika siku za usoni nimekuwa naletewa message kuwa windows 10 yangu imekaribia ku-expire na hivyo inabidi nifanye activation.Sasa sina product key.Je kuna namna...
1 Reactions
38 Replies
12K Views
Kwa lugha ya kitaalam tuayaita septic tank,. Huu mfumo hujumuisha septic tank na soakaway pit, hii septic tank ina sehemu ya kutolea maji ambapo yanakwenda moja kwa moja hadi kwenye soakway pit...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Ukimfuata inbox anakwambia umpe namba zako na namba za utakae kuangalia mawasiliano yake bila Kwanza yeye kukupa namba yake. Hii maana yake NI nini? Kama utafanya kosa la kumpa hizo namba...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom