Kwa sasa hivi sio ajabu kabisa kwenda katika kampuni yenye watu zaidi ya 60 mfano ukakuta wanatumia programu ambazo hazina leseni , ambazo zina crack na vitu kama hivyo .
Wakurugenzi wa kampuni...
Infinix hot 9 na Tecno camon 15 ni ipi simu nzuri kati ya hizo kuzingatia performance, camera, display na ugumu wa body zote ziwe na internal memory 64GB 4GB RAM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Wandugu kuna kipindi nilihangaika sana kutafuta adsense mwishowe nimeipata , nasasa naiuza Tsh 35000 kwa atakae ihitaji ani PM au anicheki whatsapp/sms/call 0786242562 ipo hio hio moja...
Wakubwa kama nilivyoahidi kuwa sitokuwamchoyo wa material kwani mimi nina imani watu tunashindani kwa nini unajua bali si nini unacho,si unakumbuka maprof wa kibongo wana usemi tukimpa kila mtu...
Wakuu, nimeona nipost hapa hitaji langu litazamwe kusaidiwa.
Ninahitaji Antenna ya ndani ambayo naweza kufunga kwenye TV yangu na kutazama Local channels bila kutumia decoder yoyote.
Nimepitia...
Nina miaka takribani mitano humu JamiiForums na ni mdau mkubwa sana wa kwneye hizi pande za jukwaa la Tech, Mada nyingi zikianzishwa za kutengeneza mpunga online humu jukwaani watu wanaishia...
Msaada wakuu jinsi ya kuset (multiple users) kwenye simu yangu nataka niset account Mbili moja kwa matumizi yangu na nyingine kwa ajili ya guest users natumia itel A32F
Habari za kwenu waungwana natumaini mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku ya kutafuta ubillionaire katika nyanja yetu pendwa ya Technology, sasa basi leo naomba nizungumze na software...
Wakuu na wataalamu naombeni msaada wa namna ya kuweka Password au pass code kwenye specific folders Ya Computer
Ili niwe na private access na some of the folders kwangu tu.
Habarini, naomba msaada mwenye ujuzi na hili tatizo la simu yangu ni samsung note 2 ilianza kwa kuzima ikawa ukiwasha inaonyesha samsung tu halafu haiendelei nkapeleka kwa fundi ika-flashiwa...
Naomba msaada na ushauri namna na jinsi ya kutengeneza account Youtube mpaka kufikia hatua ya malipo hatua ya malipo.
Mwenye ujuzi na utaalam huo naomba mawazo yenu na pia tuelekezane sote ni...
Dah nimehuzunika sana hapa nimepigwa nyundo ya mbavu na clickbank pesa ya mzungu inanipita kushoto.
Kwa sasa nataka nihamie huku affiliate nashuhudia kuna pesa nzito nzito sio hizo dola mia mia...
Habari wakuu,
Naomba kujua ni wapi naweza nunua domain ya website na nikaimiliki mwenyewe.
Naitaji iwe ya .co.tz
Mfano www.dawati.co.tz
Nataka ninunue moja kwa moja bila kupitia kwa developer...
Ninaanza kwa kuuliza,
Kama kuna mjuzi wa technology hii ya Python, basi naomba kujua namna ya kuhusisha django, library ya face-recognition na OpenCv library.
Nimefanya web app inayofanya hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.