Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu Asalam-alleykhum Leo nikiwa nimetulia kijiwe nimeona ndege kubwa ikiruka anga ya mbali na kuacha michirizi miwili ya moshi mweupe (kuna picha chini). Kwa kumbukumbu zangu ndege za...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji mtu wa kunifundisha kuchora Raman za nyumba, akiwa Dodoma itapendeza zaidi hata popote sawa cha muhimu ni elimu nahitaji #msaada wenu unahitajika
0 Reactions
2 Replies
1K Views
-Iwe ndogo kwa muonekano. -Yenye uwezo wa kuangalia video Youtube na kwingine bila shida yoyote. -Kamera yake iwe tamu. -Yenye uwezo wa kudownload vitu mbalimbali e.g Video, Games, Apps e.t.c...
1 Reactions
93 Replies
23K Views
Nina PC HP ina tatizo la kioo pia window yake inasumbua 1) Naweza kutoa HDD (nishaitoa) nikaweka kwenye Pc nyingine halafu nikInstall window kwenye hiyo HDD, baadae nikairudisha kwenye hiyo PC...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za asubuhi? Ndugu yangu anapokuwa hewani/kwenye mtandao, nikimpigia tunaongea kama kawaida. Akiwa nje ya mtandao au kama amefunga simu, ukimpigia simu inapokelewa na mwingine...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Aseeh wakuu naomben anaefaham namna naweza sikiliza redio bila kutumia data yaan ni app ip inaweza kufanya hivyo
1 Reactions
23 Replies
5K Views
JINSI YA KUFUFUA FLASH ZILIZOKUFA Najuwa raia wengi sana mmejaza flash ambazo ni mbovu majumbani kwenu au kama sio hvyo mmeshatupa flash nyingi sana kisa zimeharibika pasipo kujuwa flash yako...
25 Reactions
108 Replies
19K Views
Wadau wa JamiiForums, Naomba kujua ni Application gani ninayoniwezesha kuweka point (coordnates) au starting point halafu nitembee iwe kwa miguu au gari hadi point nyingine kisha inaniambia ni...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
MB 70, MB 100, MB 200, au MB 300 zinakutosha kwa siku? Binafsi mimi hazinitoshi, kama na wewe hazikutoshi basi leo nitakuonyesha namna ya kutumia na kupunguza matumizi yako kwa siku. Kwa hali ya...
11 Reactions
33 Replies
11K Views
Habari wanaJF, Husika na mada hapo juu, kama mnavojua vyuma vimekaza Naomba mnisaidie jinsi ya kuingia JamiiForums kwa kupitia Freebasics. Je, procedure zake zimekaaje?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
‘People think that data is in the cloud, but it’s not. It’s in the ocean.’ How the Internet Travels Across Oceans The internet consists of tiny bits of code that move around the world...
1 Reactions
4 Replies
810 Views
Habari wajumbe, naomba kama kuna mtu alishafanikiwa ku root nokia 3 TA 1032 kwa kutumia pc au application. nimejaribu kwa muda mrefu sana bila mafanikio
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanaotumia iyoo app ya your freedom now bado inaendelea kufanya kaz maana naona kama miez 2 iliyopita ilikuwa inazingua
0 Reactions
21 Replies
5K Views
1. Screenshot then zoom. 2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview. We will make a millions and millions...
12 Reactions
102 Replies
32K Views
Ni ngumu kuepuka color wheel kwani ni rahisi kutumia katika kufanikisha kazi mbalimbali pale tunapokuwa tuna design au tunadevelop wavuti n.k. Kwa wasiojua color wheel ni box au circle linalo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani wakuu naombeni mnisaidie jinsi gani naconnect maana inaniandikia DNS initialization fail naamini kupitia kwenu nitafanikiwa
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakubwa habari ya saahizi.. nilikua naomba msaada hapo kwa wajuzi nimepata changamoto kwenye laptop yangu hii.. nilikua nafanya baadhi ya mambo sasa nikaihitaji kurestart mashine ili niizime...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je, unatengeneza APP au website ambayo itahitaji Bulk SMS / API SMS? Kama wewe ni mmoja wa Developers wa Website au App na ungependa kutumia mfumo wa API SMS/ Bulk SMS, bado hujachelewa hata...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wana Jambo Forums,katika kuhakikisha kuwa kila mutu anakuwa na ufahamu hata kwa kiwango kiduchu nimeamua kuandaa kama kaprogram ambacho kila week nitakuwa nawaleteeni katopic ambacho nina...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habarini wandugu naulizia kuhusu startimes Hawa jamaa wanauza antenna zao ghali sana Hivi nikinunua decoder yao bila hizo antenna zao halafu nikaja kutengeneza ya kwangu tu huku mtaani ya vichuma...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom