Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba wataalamu wa ubuntu mnisaidie, niliinstall ubuntu kwenye pc yangu hp pavilion kwa kutumia bootable usb. Kwa sasa nataka kuinstall window kwa kutumia bootable USB. Nimejaribu mara kadhaa...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Habari za mda huu wajameni, naombeni msaada wenu wa hali na mali, simu yangu nikiingia Instagram nikamfollw mtu inaji unfollow ndani ya kama dakika 1 baadae, ni wapi nakwama au kuna masherti...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba mwenye kufahamu anielekeze jinsi ya kuunganisha smart tv ya TCL inches55 na simu smartphone ya samsung A 20s, maana natumia T-CAST tu kwa mobile hotspot. Nilikuwa nataka...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Natamani kuona JF kukianzishwa Jukwaa la kushare Ideas. Ninapenda kufikiria Sana na mara nyingi huja na mawazo mazuri tu japo huwezi kusema hayahitaji maboresho. Lengo la kuanzisha Uzi huu ni...
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Watu wa azam tv satellite mnayotumia 7A haifanyikazi channel hazionekani, jaribuni kuangalia connection zenu, watu tumelipia halafuhatupati channel zilizofanya tulipiie Kama kuna watu wa Azam...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama unataka ku unfriend Facebook kwa wana click nicheki nikupe njia rahisi ya kufuta marafiki zako wote ki urahisi kabisa WHATTSUP me 0752446155
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya kujifunza Python miaka kadhaa iliyo pita nikaona si vibaya nikajaribu web developement! Na framework zilizokuwa akilini mwangu ni flask na Django! Mwisho wa siku nikaona nijifunze...
4 Reactions
26 Replies
38K Views
Jabari zenu wana jf, naomba kwa mwenye idea ya Excel anisaidie functions zinazoweza kunipa majibu ya swali hili; Qn; Fundraiser The third annual spring term “Care for Critters” fundraiser was a...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Speed ya Internet sijalielewa tangu jana iko low, kuna nini?. WhatsApp video na picha haziendi, instagram haifunguki.
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Nilibahatika kupata pc Dell Safi tu CoreI 7 Generation ya 3 ..ikiwa na Ram 4GB na 500GB HD... kwa bahati mbaya ilikua na Password kwenye Admin Account so nikawa natumia Guest hivyo kukosa baadhi...
6 Reactions
64 Replies
42K Views
When Mxolosi saw a Tecno W2 smartphone in a store in Johannesburg, South Africa, he was attracted to its looks and functionality. But what really drew him in was the price, roughly $30 — far less...
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Ni muda mrefu Sasa, kila niki-search kitu kupitia Google, location ya mahali nilipo ambayo huwa inatolewa na Google wenyewe mwishoni mwa page imekuwa Ni ya kubadilika. Utakuta inaonyesha location...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Binafsi sio mtaalamu wa computer, wala sina ujuzi wowote kwenye issues za IT but navutiwa sana na maswala hayo. Naomba kuuliza, je, naweza kutengeneza android app nikiwa sina...
0 Reactions
8 Replies
954 Views
Habari wakuu. Nina mpango wa kufanya live streaming ya webcam kwenye Facebook. Kwa hapa Tanzania kuna sheria yoyote kuhusu hili ama natakiwa kupata kibali au kilipia chochote kama ilivyo kwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini waungwana, Rejea mada hapo juu nimeamua kuanzisha huu uzi kuona namna ya kujua ni website ipi ambayo inamilikiwa na Watanzania kwa maana Tanzanian startups Duniani tumeona Luna website...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Naombeni kujua application nzur za kudownload movie kwenye PC bila kulipia
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Xiaomi Redmi 5A SPECIFICATIONS 81% 1,955,145 hits39 Become a fan 5.0"720x1280 pixels13MP1080p3GB RAMSnapdragon 4253000mAhLi-Ion Read opinionsComparePicturesRelated phones ALL...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Anayewatengenezea kampuni ya Samsung battery za A-Series, ni kiboko, ameweza sana simu zinakaa chaji balaaa, sijui iphone anakwama wapi
11 Reactions
85 Replies
16K Views
Teknolojia ikiwa imechukua nafasi kubwa ya maisha yetu katika kipindi hiki , ni vigumu kupita siku haujatumia applications , search engines , operating systems au kwa ujumla software ambazo ni...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu nimeinstall whatsapp kwenye device yangu ila kila nikiverify confirmation code hawanitumii sms kwenye simu yangu
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom