Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kwa wale wanaohitaji kufahamu kwanini? TV hitachi mjapani huwa inawaka hata kama umeme mdogo chini ya Volt,120 inawaka bila tatzo na kuna wakati inazima mara tu umeme unapo pungua zaidi,Wakati tv...
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Habari za mchana natumaini mko poa Namahani naomba kufaham kitu kuna best yang kaibiwa simu jana jioni na mpaka saivi hiyo simu yake bado inapatikana sasa nilitaka jinsi ya kutrack namba ya simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa salaam Nilinunua mabox ya kuflash simu mawili piranha na volcano mwaka 2015, nilikuwa nayatumia vizuri tu bila shida,sasa leo nimepiga window upya yamegoma kutumika na website za Haya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale mnaoendelea kutumia picha kuwa kama icons inatosha sasa, kwa wale wanaotumia icon fonts mjitahidi kufanya ntakayoeleza!. Hakika inasumbumbua na italeta shida kwenye project yako, endapo...
3 Reactions
0 Replies
976 Views
Wakuu naomba mnisaidie ushauri kuhusu gari ist na golf zote za 2005 ili kukwepa dumping fees, naipenda golf kwa muonekano wako lakini je ni gari ambayo nikitaka kuja kuuza itauzika? Na upatikanaji...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habarini wakuu, Nahitaji solar power sustem ambayo naweza Washaia taa mbili hizi za utumbo, na Feni moja na vitu kama Tv na fridge dogo, inshort nina kama master room moja na jiko, kiapartment...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kampuni ya Microsoft imetangaza kuifuta programu ya Internet Explorer ifikapo tarehe 17 Agosti, 2021 na wavuti ya Microsoft Teams haitafanya kazi na Internet Explorer 11 ambayo ni toleo jipya...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau habar. Naomba kuuliza hiv katika project za hydroelectric power haiwezekani maji kuyarecycle ili yaendelee kutumika na kulinda vyanzo vingine vya matumiz ya maji?
0 Reactions
6 Replies
866 Views
Hello waungwana, let me tell you bout social media, au vip? Oky I won't wait for your answer 😅. Social media imekuja kuondoa mtu wakatikati. Au ww unaonaje, kwasbabu Sasa hivi mteja na biashara...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Msaada Kwa Anaejua Kutengezea App Kama Anielekeze Nifanyaje Au Niingie Wapi Nitumie Nn
1 Reactions
2 Replies
835 Views
Wasalaam. Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni 1. LG G8 Thinq 2. iPhone X / XS Max / 11 3. Google Pixel 4 XL Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze...
2 Reactions
26 Replies
8K Views
Muda huu mtandao wa YouTube hauwezi kutumia ipo chini sana.lakini unaweza kuangalia sites nyingine bila tatizo lolote na network ipo very strong. Je, tatizo ni nini? Ni sababu za kisiasa...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Msaada jamani anayefahamu namna ya kuweka off screan overlay. Kuna baadhi ya apps nikizifungua zinakataa kufunguka inanambia ni turn off overlay nimeitafuta kwenye setting hiyo overlay ili nii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UTAJIRI WA DUNIA UPO HAPA Je, unajua kuwa wawekezaji waliowekeza kwenye teknolojia ya mawasiliano wana utajiri mkubwa. Kwenye teknolojia ya Mawasilianao ni kati ya Maeneo nyeti yanayo aminika...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Tujifunze namna ya kutumia SQL katika nyanja mbalimbali za programming. Any one can be a teacher or a student. Any tips and tricks is allowed? Any question base on this topic is allowed? You...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wale wadau wa game, naona sony wameanza kudhihirisha polepole muonekano wa game yao mpya Ps5 baada ya kuanza na controller yake ambayo wameiita DualSense. Ps5 inatazamiwa kuwekwa sokoni kwa mara...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Zifuatazo ni machine learning algorithms ambazo data scientists (individuals computer professional, corporate employees, and any one interest in AI) anazitumia kutengeneza machine learning models...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
*MBINU MOJAWAPO INAYOTUMIKA KWENYE WIZI WA MTANDAO* Tafadhali, naomba ku-share nanyi mbinu mojawapo inayotumiwa na wahalifu katika kufanikisha wizi kwa njia ya mtandao. Huu ni uzoefu nilioupata...
26 Reactions
78 Replies
11K Views
Naomba kama kuna mtalaamu wa kutumia Twitter naomba msaada.Nikifungua Acc.yangu ya Twitter inanitaka ni Verify namba ya simu iliyopo kwenye acc yangu ya Twitter na kuniandikia ujumbe kuwa nibonye...
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Habari wapendwa, Napenda kujua namna ya kutumia dishi na king'amuzi kimoja ili kisambaze channel katika tv tofauti. Nataka kila chumba kiweze kupata channel lakini ninadish moja. Kwa anayefahamu...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Back
Top Bottom