Wakuu natumia Samsung smart tv....But nafeli katika kustream vitu live kwa mfano mpira...Je kuna njia yoyote nyepesi itaweza nisaidia...nimejaribu firstrow sports through web browser but...
Habari wanajamii, samahanini sana.
Nilikosea ku edit mwaka kwenye youtube channel yetu sasa hivi inanigomea kuingia
Naweza pata msaada wa kuiedit tena ili irudi hewani
Wakuu mimi ni mdau wa mambo ya sayansi lakini nikiri katika vitu nimetumia muda mrefu kuvielewa bila mafanikio basi ni hii kitu inaitwa relativity theories za huyu jamaa anaitwa Einstein
Ukianza...
Habari zenu wanaJF,
Kama tunavyojua simu ni kifaa ambacho wakati mwingine marekebisho yake ni rahisi sana na wakati mwingine huwa vigumu sana kutatua matatizo yake ambapo humbidi sasa fundi...
Huku uelekeo wa TikTok ukiwa bado haujafahamika, Instagram inatarajia kuchukua baadhi ya mashabiki wa ‘App’ hiyo kupitia ‘App’ yake iitwayo Reels, inayozinduliwa leo katika nchi takriban 50...
Habari za mida wakuu
TV yangu ilizima ghafla ikawa haionyeshi chochote nikamplekea fundi kaniambia balb zimeungua, nikanunua mpya zikawekwa, kweli tv ikawaka lakini ndio ivyo ikawa inajichora...
habari wandugu. naomba wataalamu wanisaidie ni kwann app ya DSTV NOW inagoma kufanya kazi kwenye tv yangu SMART TV INCH32 OULING? pia nisaidiwe kama kuna njia nyingine ya kuitumia kwenye hii TV yangu.
Salam wapendwa.
Naomba kujuzwa na wajuzi.
Utaratibu wa kusajili hizi blog na website pamoja online TV huko kunakoitwa TCRA.
Je, ni aina gani ya blog? (Inayojihusisha na nini?)
Je, vipi upande...
Ripoti iliyotolewa na Shirika la Canalys imesema Huawei imeipita Samsung kwa mauzo baada ya kuuza simu Milioni 55.8 kati ya Aprili-Juni huku Samsung ikiuza simu Milioni 53.7
Imeelezwa kuwa...
China kulikua na Iphone nyingi kuliko nchi yoyote Duniani ila sasa Iphone inapoteza nafasi ya kua simu namba moja China.
Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani...
The much hyped iPhone went on sale two days ago (Friday) in UK and looks like Britons are just being ******* again by APPLE as usual
-Its costing about £270 in UK thats about 565 US...
for those who regularly visits apple website should have seen the new MAC TV ADS that according to my views this time they have definetly gone too far!!
most parts what they say is true..,and...
Natumia Huawei Y5 lite, kila nikitaka ku-upload file au picha nakutana na changamoto hiyo, nilijaribu ile option ya ku-uncheck (don't keep activities) kwenye developer option lakini shida bado...
Nataraji mumeamka salama na familia zenu.
Wakuu naomba msaada kwa wale wanaojua jinsi ya kuinstall Tv touchscreen (kwa matumizi ya kufundishia)
Shukrani
Mola awe nanyi.
Wakuu
Huo mstari mkubwa mweusi ulikuwa mdogo miezi miwili iliyopita lakini kadiri siku zilivyozidi ukaendelea kujigawanya na kuwa mkubwa ukiangalia vizuri chini yake kuna mistari mingine midogo...
Wadau nipo hapa dsm ninatafuta fundi mzuri wa suzuki hizi new model wengine wanaziita za s kubwa. Ni ya mwaka 2008 . Hawa mafundi wa kawaida wanaziogopa wanasema software/umeme mwingi hivyo...
Siku hizi ni kitu cha kawaida kabisa kukuta vijana wakipita mitaani kutangaza huduma za ttcl broadband na mobile wengine wako na zantel na kampuni zingine zinazotoa huduma ya internet vijana hawa...
Tumekuwa tunasikia malalamiko mengi sana kutoka kwa wadau wanaotumia huduma za ttcl mobile na broadband kwamba pesa zao zinaenda sana wakitumia mtandao haswa wale waliounganishwa moja kwa moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.