Kama mnavyojua watoa huduma mbalimbali wanavyoendelea kuboresha biashara zao ili kuwavutia wateja, ambapo sasa naongelea virtual card zinazotusaidia kufanya manunuzi mtandaoni.
Airtel Money...
Eid Mubarak jamiiya,
Wakuu jana niliweka uzi wakuuliza hii kitu naona mods wakapita nao,
Kwa mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia antenna hizi naomba atupe uzoefu wake hapa je ni nzuri zinasaidia...
Jamani rejeeni kichwa cha habari hapo juu,hivi unafanyaje kujua served password kwenye simu ya mtu mwingine,yaani ameugwa WIFI lakini aliyemuunga kaficha password huwezi ziona kwenye hiyo simu?
Habari humu kumekuwa na uanzishwaji wa kitu kinachoitwa Silicon Dar
Kwamba wamechukua jina la Silicon Valley, Califonia eneo maarufu kwa teknolojia wao wamekuja na Silicon Dar
Eneo hilo la...
Wakuu Nina hii device shida moja imetokea pen yake imeisha nguvu. Kuja kucheki kumbe Inatumia betri AAAA, Nilifikiri ni rahisi kuzipata lakini imekuwa ni changamoto. Nyingi zipo za AAA Tu.
Mdau...
Kwa ambao hatuelewi chipset, hii ndio brain ya simu. Hiki ni kifaa kinachojumuisha vifaa vyote vya simu ama vinavyofanya simu ifanye kazi kama processor (or CPU), graphics processing unit (GPU)...
Habari wanajamii na Skukuu ya Eid njema.
Nimenunua Tv ya Samsung Smart tv used, nimeunganisha internet na simu yangu na imekubali vizuri tu na simu yangu ina Gb za kutosha za kuweza kuperuzi...
Kama kichwa hapo kinavyo sema naomba tuasaidiane juu ya ps3 games
mimi ninatatizo ps3 game yangu aioneshi magame yaliyo kuwa kwenye external disk ila nikiweka kwenye ps3 nyingine inaonesha ila...
Blogging
Forex
Affiliate marketing
Freelancers, n.k
Hata saa iliyoganda inaweza kuwa na msaada kama muda unaendana na pale ilipogandia lakini zaidi ya hapo ni hasara kubwa.
Kumekuwa na wimbi la...
Ninawasalimka ndugu wajumbe.
Ninatafuta mtaalamu wa Kompyuta kwa Dodoma. Komyuta yangu imekuwa na changamoto inapowashwa hai-display chochote. Kama yuko fundi humu kwa upande wa Dodoma tunaweza...
Amazon CEO Jeff Bezos, Apple CEO Tim Cook, Facebook CEO Mark Zuckerberg and Sundar Pichai, CEO of Google parent Alphabet, are set to testify before the House Antitrust Subcommittee on Wednesday...
Habari wakuu,
Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play...
Aisee nimekumbuka, kipindi tupo masomoni miaka kadhaa nyuma kuna jamaa walitupatia code fulani hivi nadhani ulikua unaanza http....na mbele kukawa na maneno kadha kisha unaweka kwnye link search...
Nikiipata ambayo itaweza kuniwekea beat kisha nikapandishia sauti ( vocal ) nitashukuru.
DHUMUNI: Nataka niwe naitumia kwa mazoezi ya kuimba.
CHIEF MKWAWA tia neno hapa mkuu
Natanguliza...
IMEI NUMBER NI NINI?
IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha
vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.