Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ndugu wanaJamiiForums heshima kwenu. Nilinunua simu ya Sumsung Galax S8 ambayo ni hizi wanaita T-Mobile. Sasa simu ina line 2 lakini inatumia line moja kipart kingine cha kuweka simu hakisomi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu!, Niende kwenye mada moja kwa moja, mimi nahitaji mtu mwenye utaalam wa kutengeneza mobile smart phone application kwa Ios na Android. Pia naomba msaada wa maelezo kuhusu vigezo na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeangalia chini nikaona sehemu ya kuweka SIM card Ila nilivyochomeka haikusoma mwenye ufahamu anifahamishe. Nini kinahitajika.
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Je, una swali kuhusu mambo ya computer? ama Tehama kwa ujumla yani (Information Technology?). Basi naomba nikukaribishe iwe maswali kuhusu printer, computer gani nzuri?, Naweza kufanyaje kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Bazazi habari ya mda huu, bila kuchelewa niongelee suala hili muhimu kwa watu wangu makini sana. Tunatambua kuna ongezeko la social networks hasa playstore, appstore na kwenye web browser...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Habari wana JF, Kwa mara ya kwanza leo ni siku njema kwetu kwa kufunguliwa akaunti yetu baada ya kufungiwa kwa muda mrefu sana. Anyway tunashukuru uongozi wa JF na wafanyakazi wake kwa kufungua...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Habari. Nimeamuka na hangover zangu leo nikawa nafikiria jambo hapa ndo nikapata wazo kuwa kule JF si kuna wataalamu. 1. Ni hivi mitandao kama Voda, TTCL, Airtel inauza vifurushi hivi vya...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu ningependa kununua smart fone mpya ila nimejikuta nashinda kuchakua ipi iliyo bora kati ya hizi 1. Nokia 2.3 2. Samsung A20s 2. Infinix hot 8 Nitashukuru saana msaada wenu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Google, Sundar Pichai amesema Wafanyakazi wake takriban 200,000 wataendelea kufanya kazi wakiwa nyumbani hadi Julai 2021, ikiwa ni ongezeko la miezi 6 katika mpango wa awali...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika ulimwengu wa leo nawaza kuhusu application ambayo unaweza ukaunganishwa na meter yako kiasi ambacho unaweza ukawa na unaongeza salio lako na kujua unit zilizobaki bila kutumia remote. Hii...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Habar za mchana wanaJF Naomba kujuzwa ni App gani nzuri ya kutumia kurecover data zangu zilizopotea kama sms, calls history, picture na videos
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za saizi ndugu zangu??? Nimetafakari nikaona ni jambo jema kuleta uzi kama kichwa kinavojieleza.Nivema wataalam wa maswala ya camera ikiwamo wapiga picha,mafundi kamera na wauzaji...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Halo kila mtu, Kwa sasa ninatumia programu ya sinema ya bure ya sinema ya Cinema badala ya Netflix, lakini bado inaonyesha matangazo mengi na inasumbua uchezaji wangu wa sinema. Ninawezaje...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kwa wale mnaotumia VODA, mara ghafla week hii gharama za kununulia vifurushi vya internet bundle zimepanda. Ile bundle ya week ya 5000 Tshs kwa 1gb kwa sasa ni 800mb. JE VODA WAMEAMUA...
10 Reactions
138 Replies
17K Views
Naomba kufahamishwa namna ya kufanya ili kununua app kwenye simu. Mfano nataka kuapgrade truecaller lakn nikienda kwenye kulipia mfano kupitia tigo naambiwa error nikiwapigia opereta wa tigo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu inawezekana ku-force app inayotumika katika katika Android version 4.4 itumike kwenye Android version 4.2.2? Kama inawezekana naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
912 Views
Habari waungwana, kuna changamoto ya kujirudia rudia kwa picha na ma file mengine katika simu hasa "Audio" na "Video". Msaada : 1. Naomba kujuzwa ni kitu husababisha kujirudia rudia (Multiple)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu JamiiForums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Kwanini TCRA hawahakiki ubora wa "Mobile Phone Apps"...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Samahani wanaJamiiForums nipo kitaa maeneo fulani jijini Dodoma. Kwa muda mrefu nimekuwa nikijishughulisha na upigaji picha kwa kutumia simu yangu na mpaka Sasa nimefikia hatua ya kutengeneza...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Habarini wanajamvi, Naxhindwa kupata Notification Access kwenye sim yangu. Simu ni tecno pop 2 plus android 8. Nahitaji msaada plz.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom