Habari,
Katika maisha yapo mengi kiasi mengine hatuyafahamu. Inafika hatua watu umaliza ungwe ya dunia wakiwa na asilimia nne '4' kwa wanayo yafahamu.
Nikiwa katika Mwongo (Decade) ya pili ya...
Habari za muda huu wakuu!
Nilikua nahitaji niongeze RAM kwenye PC ya HP Pavilion yenye 2GB Ram, sio mtalaam wasiwasi wangu je inaweza ongeza uchapaji kazi au itakua kazi bure?
Inawezekana unajua lakini kuna wasiojua pia. Chukulia umeona picha flani na ukataka jua utawezaje kuiverify imetoka wapi au aliyeipost kaipata wapi. Fuata hatua hizi then.
1. Download hiyo picha...
Natumai hamjambo.
Tangu jana usiku yaani network kwangu ni ya kutafuta kwa tochi. App na website zinaload dakika 5 kufunguka na muda mwingine zinagoma na kusema network error. Nikacheki bundle...
Habari ya muda huu wakuu
Leo nimekuja na wazo ambalo tunaweza kulibadili na likaleta matokeo mazuri ambayo yatakuwa na matunda basi kama wewe ni Web Designer au developer ni PM tuweze kuelekezana
Habari wana JF,
Msaada wenu nina laptop mbili HP Probook zote zinaleta kioo cheusi na fan inakimbia kwa speed sana wakati power button, wireless na caps key zina blink.
Nimejaribu kubadili RAM...
Wakuu hii laptop inashida ya kuwaka
Yaani uki press power button kitaa chake kinawaka but display haiwaki, sometimes inakubali kuwaka fresh tu
Inapogoma kuonyesha kioo hata niki connect vga na...
Saturn V (five) ni roketi iliyojengwa na NASA kwa ajili ya kupeleka watu mwezini.Hii roketi ilikua na nguvu za sana na ya pekee iliyoweza kurushwa kwa mafanikio.Saturn V ilotumika na progamu ya...
Muda umewadia na shughuli tayari imeanza na historia naandika sasa.
Kwanza niliwahi kusema kuhusu picha ya planet Vesta kama inavyoonekana hapa
Huo ni muonekano wa Planet Vesta kilima cha...
Jamani nimerudi tena maana mpaka sasa sijapata solution kuhusu laptop yangu maana tatizo ni kwamba nimeambiwa HD imekufa so inabidi nipate nyingine hilo sio tatizo zaidi baweza kununua nyingine...
kuna mtu kaniuzia graphics card ila nikiweka kwangu inaonesha imedisplay ila ina andika.
"This device is not working properly because Windows cannot load the drivers required for this device...
Habarini wana JF natumai mu wazima.
Mimi nimwanafunzi wa chuo cha ufundi (Electrical eng) Nipo hapa kuomba kama kuna mtu anajua sehemu wanapo fundisha ufundi simu au fundi simu yeyote anaeweza...
Huwa naangalia TV mfano Live kutoka Ikulu au tukio lolote linalohusu nchi basi labda lipo live mubashara mfano Channel Ten, nikabadirisha Stationi nikienda TV E ya Majizo nakuta tena Channel Ten...
Habarini wana jamvi, nina ndoto ya kurusha ndege ndogo nitakayoitengeneza mimi mwenyewe, kwa miaka 2 nimekusanya tutorial na mafunzo mbalimbali kupitia utube n.k kuhusu ndege, aina ya ndege ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.