There is a growing chorus of people who blindly recommend Tor to anyone looking for online anonymity. This recommendation often ignores mountains of evidence suggesting that Tor is not the...
Habari!
Shida yangu naomba nisaidiwe Apps za Android na pc za kuingizia beat na sauti. Nataka nirekodi ngoma Sema Apps za musics hasa za Simu sizijui
Msaada please kwa anayezijua au aliyewahi...
Bwana Awe nanyi, Awe pia nami
Wakuu swali langu ni subwoofer kwa chini kuna sehemu za volume na chini kabisa kuna MIC 1 MIC 2 Sasa zina husika ni nini pale
Wana teknolojia hamjambo?
Naomba msaada wa ufumbuzi wa simu yangu ya Tecno. Imekuwa inasumbua Sana na Kila nikitaka kutumia Kuna ujumbe unatokea kwenye screen (Google play has stopped) hata Niki...
Wakuu kwema,
Naomba msaada PC, yangu inajiswitch off wifi automatically nimegoogle njia mbalimbali ila bado hijakaa sawa.
Mwenye ufahamu maomba anielekeze ufumbuzi wake.
Wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivo,
Ni kua samsung galaxy haisomi simcard ya voda ukiweka wanasema insert sim card / emergency calls only, lakini ukiweka halotel inasoma vizuri tatizo litakua...
Nina shida ya computer, Windows 7 Pro
Inaonyesha imejaa lakini siyaoni hayo mafaili ya kujaza 150 GB.
Nawezaje kupata kitu kama listi ya mafaili yote yaliyomo kwenye computer, size yake na...
MAMBO 5 YA KUSHANGAZA KWENYE SIMU YAKO android
Do more with your smartphone [emoji4]
Android ni mfumo wa nguvu Sana wa KUFANYA kazi ambao unaweza kutumiks kwa KUFANYA Mambo mengi zaidi ya...
Salaam wana jukwaa.
Naomba nianze moja kwa moja bila kupoteza muda. Mimi ni mhitimu wa Chuo cha Kikatoliki Mwenge, Moshi katika Bachelor of Science With Education. Katika pita pita zangu...
Simu yangu Ni Infinix smart4 Ila niki download game ya dream league ukicheza utakuta Ina stuck au game kuzima kabisa sijajua shida Ni Nini msaada jamani?
Msaada jamani, Desktop yangu ina njia 2 za kuwekea RAM na mimi nimeweka RAM 2gb kila njia ila nina RAM zingne nahitaji kuongeza na hakuna njia ya kuweka.
Je, kuna kifaa chochote kinachoweza...
Je unapenda Smartphone au Tablet yako ifanye kazi kwa spidi kama ya Usain Bolt? Je unajua nini cha kufanya? na je unajua kama wewe mwenyewe unaweza kuiongezea spidi Smartphone/Tablet yako? Hebu...
Kwa kawaida simu huwa yamoto wakati ikiwa inachajiwa ama inatumika kwa matumizi yanayotumia moto mwingi wa betri (mfano kuangalia videos, kucheza games, etc). Ila umoto wake huwa wa kawaida na sio...
China has continued to shake the world with their back to back technological breakthroughs. Before now, it used to be the United States and Japan that occupy the top position in great inventions...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.