Je, umewahi kukutana na tatizo kama hili langu ninalopitia mimi wakati huu?
Na kama umewahi ulitumia njia gani kutatua.
Ipo hivi, mimi ni mtumiaji wa mtandao wa vodacom. Najiunga kifurushi cha...
Wadau wa hizi kitu kama nilivyo sema nashindwa kusajili kwasababu ile app niki log in inakubali ila siwezi kufanya chochote kwasababu nikigusa nianze kazi inaganda tu hapo mpaka italeta kaujumbe...
Mtoto wangu anapenda sana kucheza games mbalimbali, indoor na outdoor. Hizi gta zingine anazo, sasa kila siku anajaribu kudownload gta 5 lkn hafanikiwi.
Hivyo, kwa kifupi natafuta gta 5 mwenye...
Wakuu ni app gani inayoweza kufanya kazi kwenye simu kama tochi za traffic za kuangalia speed ya magari yanayotembea?yaani nikinyooshea simu yangu gari litembealo niweze kuona speed ya hiyo gari?
Habari za Muda Huu WanaJF,
Leo nimeona nishare kidogo hii App mpya ya GBinstagram kuna wengine mmekutana nayo lakini wengine nado
Hii App ometengenezwa na Developer aliedesign App ya GBWhatsApp...
Pc yangu ni hp pressario CQ56 yenye processor ya pentium dual core T4500 WITH 2.30gh pia ram yake ni Gb 4. Nataka install Gta V, Je nitaweza kwa uwezo huo wa PC yangu?
Baada ya kui reset simu upya, ina demand ni scan QR CODE
Wataalam natokaje hapa na katika kudadisi dadisi naambiwa QR CODE ipo nyuma ya simu, ndani kwenye betri, ila jinsi simu ilivyo au...
Naomba wataalam wa vitu hivi mnisaidie sabufa gani ni nzuri quality ina equilizer, base yani vile vitu vyote vizuri, niliwahi kuuliza humu sikupata majibu mazuri nimeenda kununua latech yani...
Wapendwa Katika Bwana Natumaini leo jumapili ipo njema kwenu,
Swali langu lipo hivi, WI-FI ni mpaka umbali gani ukifika kama ulikuwa unaitumia inaacha kusoma kwenye internet ya simu yako...
Hellow bosess
I hope mpo poa, kutokanaa na maendeleo ya sayansi na technolojia duniani ncho za Africa kwa ujumla zipo nyuma kwenye swala la technolojia na ICT kwa ujumla japokuwa Programming...
kuna jamaa kaniuliza kuhusu software inayoweza kubadili video kuwa audio, huyu jamaa anajiita EINSTEIN112 kwa hiyo nimeona nifungue huu uzi hapa. Kwa kuwa kule kulikuwa na uzi unaohusu mambo...
Wakuu nisaidieni ni app ipi naweza kutuma sms kwa watu bila kuonyesha sender number?
mfano kama SMS zinazokujaga za NMB, VODACOM n.k
Tuna SACCOS tumeianzisha sasa tunataka sms ziwe zinawafikia...
Salaam wakuu
Husika na mada tajwa. Naomba msaada kwa hili. Nimehangaika tangu asubuhi na nime Google bila mafanikio mbaya zaidi nimeshaunga bundle kwaajili ya kutumia kwenye hii laptop
Ahsante
Baada ya Marekani kuituhumu Huawei kuwa ni tawi la jeshi la China na kuiongezea vikwazo, mambo yamezidi kuwa magumu kwa Huawei.
Kuanzia mwakani Huawei hataweza kuzalisha chip zake za Krin...
Ndugu zangu habari,
Refers to the heading above, jamani naombeni msaada Applications nzuri za kuficha picha, videos na SMS. Yote haya shida ni Mke wangu ni shushushu balaa.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.